Recent content by Sitta juma

  1. S

    Naweza kubadili bima ya afya kwa mke?

    Habar wadau,nauliza iv km umeoa na mke umemweka kwenye bima ya afya,mkaja kuzinguana je unauwezo wa kumtoa na kumweka mke mpya,mwongozo plsee
  2. S

    Kuishi bila kudo

    Naona hamjanielewa,namaanisha mmojawapo awe na matatizo fln,mwngne mzima mkaamua kuish ivyo ivyo,is it possible?
  3. S

    Kuishi bila kudo

    Maana najiuliza km ndo dhana ni kusaidiana maisha means hilo halina nguvu
  4. S

    Kuishi bila kudo

    Habar wana jamvi,he inawezekana wana ndoa kuish bila kusex,pengine mmojawapo akawa na matatizo mfno jogoo hapandi mtungi,mke hanaga nyege kivile,n mkaweza kuishi miaka
  5. S

    Duka la dawa mhimu za binadamu

    Habar za jion wana jf,nauza duka la dawa km kuna mtu anataka kununua anicheck 0767874060,lipo singida mjini
  6. S

    Duka la dawa mhimu za binadamu

    Mi ni mkazi wa singida nauza duka la dawa km kuna mtu anataka kununua anicheck 0767874060,lipo hapa singida municipal
  7. S

    BBA, Accountancy vs procurement

    So procurement na account nani zaid
  8. S

    BBA, Accountancy vs procurement

    BBA ya TIA,CBE na MUST vp
  9. S

    Tofauti kati ya bussines information technology ( BIT) na information technology (IT)

    Bit inadil Zain na mambo ya app ya it kwenye biashara kv kwenye mabank,lkn it its universal na paba zaid so km unataka kusoma piga it yenyewe
  10. S

    BBA, Accountancy vs procurement

    Nahic mtu wa BBA anaweza Fanya kazi zote zizikiwemo za acc,procurement na HR,cjui km Niko sahh
  11. S

    BBA, Accountancy vs procurement

    Habar za asbh, nauliza kati ya kozi 3 hapo juu, ni ipi ambayo ipo more marketable zaid kwa ngazi ya bachelor?
Back
Top Bottom