Changamoto ya kupanda kwa bei ya nafaka ni matokeo ya vua chache msimu uliopita kwa hiyo serikali inacho fanya ni kupunguza ukali wa wa maisha kwa kuagiza mchele nje ya nchi na jambo hili si Tanzania pekee ,hata nchi jirani zina experience hali hiyo hiyo tuombe Mungu msimu huu mavuno yawe mazuri...
Mtoa mada are you sure with what you trying to convince the panel? Zambia kuna police wa magereza na hiyo unayosema ni mpya ndio uniform wanayotumika sasa Napatwa mshangao?
You can't fight against nature hivyo ndivyo ilivyo na ndio maana tunazaliana ingekuwa si hivyo inaawezekana idadi ya watu ingekuwa ndogo na kungekuwa na ukatili dhidi ya mwanamke lakini badala mwanaume hata awe katili au jambazi namna gani bado kwenye mapaja ya mwanamke hana ujanja anatulizwa na...
ni lugha tu ndio wakati flani inachanganya kingereza kikitafsiriwa kuja kiswahili some time unaweza sema ni boko kumbe yupo sahihi .in her formative years vice president Harris kamala visited her. ancestor
ni lugha tu ndio wakati flani inachanganya kingereza kikitafsiriwa kuja kiswahili some time unaweza sema ni boko kumbe yupo sahihi .in her formative years vice president Harris kamala visited her ancestor.
Usitegemee chochote kutoka kwa Lema kupinga hili jambo in public kwa sababu kule alipo kimbilia kutafuta asylum ili uqualify kupema asylum seeker ni either uwe mkimbizi wa kisiasa au mtu ambaye usalama wake upo hatari kutokana na kujihusisha na vitendo vya usodoma katika nchi husika ,hivyo kwa...
Raila anatake advantage wakujitafatia umaarufu wa kisiasa lakini kiukweli hata angekuwa ni yeye hakuna jimpya lolote angefanya kurekebisha hali uchumi kwa sababu ugumu huu ni kutokana na vua kuwa chache msimu wa kilimo uliopita na kama matokeo nchi nyingi za africa zinaexperience consequences .
Haya yanayosemwa hapa kama hujawahi kukutana na matukio ya kunyan'ganywa fedha na police waweza sema labda ni chuki binafsi watu walizonazo juu ya police lakini ,kuna baadhi ya police are real criminals in police uniforms na hawa ndio wanafanya raia kuchukia police kupindukia maana unafanyiwa...
Mfumo wa maisha kwa dunia ya sasa unebadilika watu hawapendani umfumo wa ubepari ndio unatawala ukileta itikadi za kijaamaa unatafuta lawama na watu .Ili uheshimiwe usipende kupokea bali uwe mtoaji .
Ni kweli kabisa ubongo wa mwanamke huchelewa kupevuka na hii ni nature na ukitaka kuprove fanya simple research kama nyumbani una watoto act kama una wanunulia zawadi kama nguo au chochote kile watoto ambao amewazaa mwenyewe mara kwa mara alafu yeye usimnunulie licha ya kwamba anafanya kazi...
Kwa mwanaume kumnunulia mama mkwe is totally unethical ila kwa mwanamke kumnunulia mama mkwe wake nguo za ndani will depend na situation maana wanawake wanajuana vizuri sana máana tunapozungumzia nguo za ndani si tu pichu bali kuna sidilia ,shumizi,underskirt, skintight ,pensi nyanya k,mashine...
Wengi wanaweza kuibeza chadema kwa uwamuzi iliyochukuwa ,zaidi viongozi wao waandamizi kama Mbowe kwamba wamekubali ku compromise lakini ilikuwa hamna namna hii ndio njia peke kwa nchi kama Tanzania , mbinu inayoweza zaa matunda ,why? Viongozi walitoa maelekezo kufanyike maandamano kupinga...
jamii forum is on another level ,miaka mingi viongozi wa nchi wamekuwa members humu mtoa mada kama ulikuwa hujui hili .Jambo la msingi ni kuzingatia lugha za staha na kuondoa mizaha na kejeli za kijinga more especially jukwaa hili la siasa ,mbali na hapo acheni ngano na magugu zikue pamoja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.