Hivi Kenya maisha ni magumu kwa kiasi gani?

Kamgomoli

JF-Expert Member
May 3, 2018
1,865
3,800
Ukisikiliza vyombo vya habari na mitandao taarifa nyingi zinaonyesha Kenya kuna maisha magumu. Kwa mlioko Kenya au mnaoenda Kenya mara kwa mara hivi ugumu wa maisha ni wa kiwango gani kulinganisha na Tanzania? Mfano bei ya vyakula( mahindi,mchele)n.k.Maana kwa sisi tunaosikiliza inaonekana km hali ni mbaya sana.

Hebu tupeni ukweli wa hali ilivyo huko kwa wenzetu maana kila siku ni maandamano.
 
Kenya kabla bongo magu hajaingia tukaanza lalamika vyuma vimekaza huko kwao mbongo ilikua ukienda lazima uone maisha magumu, sasa imagine walivokua alafu uskie maisha yao magumu😂😂😂😂😂
 
Unga wa Ugali Ulikua ukiuzwa kwa ksh. Zaidi ya 150 ambayo Ni Zaidi ya tsh. 3000 za Kitanzania. Kwa Kg 1

Mkate Vivyo Hivyo Bei juu

Kiufupi Kila aina ya chakula Kenya Bei Iko Juu....

Kenya sehemu Kubwa ni Kame na haipati mvua za kutosha hivyo Wana Import sana Vyakula ambavyo vimepanda sana.

Juzi Juzi waKenya walikua na hasira na Matumizi ya Pesa Ofizi ya Deputy President, Ambapo Zaidi ya Bilioni 100 za Kenya Zilitumika Kuhudumia Ofisi ya Mke wa Deputy President kitu ambacho wanahoji Tangu lini Bobi ya Deputy akawa na Ofisi??

Hapa Walipofikia Ni matokeo ya Makosa mengi yaliyofanya huko nyuma...

Hivyo Baba Raila Amollo Omollo Oginga Odinga ameyaona Hayo na Ku take advantge of the situation.

Kimsingi Nimependa Walichofanya.
 
Ukisikiliza vyombo vya habari na mitandao taarifa nyingi zinaonyesha Kenya kuna maisha magumu. Kwa mlioko Kenya au mnaoenda Kenya mara kwa mara hivi ugumu wa maisha ni wa kiwango gani kulinganisha na Tanzania? Mfano bei ya vyakula( mahindi,mchele)n.k.Maana kwa sisi tunaosikiliza inaonekana km hali ni mbaya sana.

Hebu tupeni ukweli wa hali ilivyo huko kwa wenzetu maana kila siku ni maandamano.
Maisha magumu kenya ayakuanza leo tangu kupata huru wananchi wako hoi kila mwaka njaa aridhi kubwa na yenye rutuba ilisha polwa na wanasiasa ss tz tofaoti yetu na kenya aridhi ni mali ya umma kila mwananchi aweza kwenda lima mkoa wowote bila kuhojiwa lakini odinga anawadanganya anataka watu wauane tu hata yeye angekuwa rais awezi leta jipya
 
Raila anatake advantage wakujitafatia umaarufu wa kisiasa lakini kiukweli hata angekuwa ni yeye hakuna jimpya lolote angefanya kurekebisha hali uchumi kwa sababu ugumu huu ni kutokana na vua kuwa chache msimu wa kilimo uliopita na kama matokeo nchi nyingi za africa zinaexperience consequences .
 
Ukisikiliza vyombo vya habari na mitandao taarifa nyingi zinaonyesha Kenya kuna maisha magumu. Kwa mlioko Kenya au mnaoenda Kenya mara kwa mara hivi ugumu wa maisha ni wa kiwango gani kulinganisha na Tanzania? Mfano bei ya vyakula( mahindi,mchele)n.k.Maana kwa sisi tunaosikiliza inaonekana km hali ni mbaya sana.

Hebu tupeni ukweli wa hali ilivyo huko kwa wenzetu maana kila siku ni maandamano.
Maishamagumu kamavile ulivyukuwa Tanzania u tawalawa jpm
 
Back
Top Bottom