Kamala Harris karibu Tanzania ila usitupige chenga kama Wazambia, au umekosea?

TODAYS

JF-Expert Member
Apr 30, 2014
13,745
21,196
Amani kwako mdau.

Direct kwenye topic; Huyu mama dada yangu Kamara Harris ametua Zambia na kufanya kilichompeleka kwa mjoli mwenzangu Rais wa Zambia Mh. Hichilema.

Mara baada ya purukushani kadhaa huyu mama akadai miaka ya 1960, babu yake mzee Gopalan aliyewahi kuishi nchini humo baada ya serikali ya India miaka hiyo kumtuma huyo babu kwenda kuwachukua wakimbizi wa kihindi waliokuwa hapo.

Yaani kuongea hilo amewapa usumbufu na kashikashi maafisa ubalozi wa marekani, wananchi pamoja na serikali ya Zambia.

Wapi nasema asije akatupiga?

Huyu makamu wa Rais Kamara alizaliwa October 20. 1964 na anasema mwaka 1960 aliwahi kumtembelea mzee Gopalan wakati akiwa mdogo, au aliendaje kwa babu yake akiwa hayupo duniani?.
 
Amani kwako mdau.

Direct kwenye topic; Huyu mama dada yangu Kamara Harris ametua Zambia na kufanya kilichompeleka kwa mjoli mwenzangu Rais wa Zambia Mh. Hichilema.

Mara baada ya purukushani kadhaa huyu mama akadai miaka ya 1960, babu yake mzee Gopalan aliyewahi kuishi nchini humo baada ya serikali ya India miaka hiyo kumtuma huyo babu kwenda kuwachukua wakimbizi wa kihindi waliokuwa hapo.

Yaani kuongea hilo amewapa usumbufu na kashikashi maafisa ubalozi wa marekani, wananchi pamoja na serikali ya Zambia.

Wapi nasema asije akatupiga?

Huyu makamu wa Rais Kamara alizaliwa October 20. 1964 na anasema mwaka 1960 aliwahi kumtembelea mzee Gopalan wakati akiwa mdogo, au aliendaje kwa babu yake akiwa hayupo duniani?.
Ndugu yangu nimejaribu kupitia kujiridhisha kuhusu umri nafikiri huenda ulisikia vibaya.

Nimepitia vyanzo kadhaa vinabainisha kwamba Kamala alikuwa Lusaka, Zambia miaka ya 60 mwishoni yaani late 1960's na sio mwaka 1960. Huenda hakusikika vizuri.

Makala zinaeleza kuwa Kamala Harris akiwa na umri wa miaka mitano ndani ya miaka hiyo alifika Zambia kumsalimia Babu yake ambaye anaelezwa kuwa na mji eneo hilo. Tazama picha hapa chini inayoelezwa kupigwa miaka hiyo.

1680077911948.png
Soma hapa sehemu ya makala "This was where a young Kamala Harris spent time in the late 1960s, at a house in Lusaka, Zambia, that belonged to her maternal grandfather, an Indian civil servant on assignment in an era of postcolonial ferment."
 
Mimi nachojua wanapokuja hawa huwa wanatuachia mabalaa tu!

Ona Kenya hapo alikuja beberu ameondoka hata week haijapita wakapitisha mambo ya kipuuzi tena kupitia chombo kikubwa "mahakama"

Hata sisi tutegemee makubwa zaidi ya hayo.
 
Wewe ndo mgonjwa, mwandishi kaonesha madhaifu ya statement ya Kamala. Kazaliwa 64 na aliwahi kumtembelea babu yake zambia 60!!! Hiyo inaonesha namna viongozi wa USA wanaendesha nchi yao kwa ujanja ujanja na uongo.

Pengine ka mquote vibaya, source ni nini?
 
ni lugha tu ndio wakati flani inachanganya kingereza kikitafsiriwa kuja kiswahili some time unaweza sema ni boko kumbe yupo sahihi .in her formative years vice president Harris kamala visited her. ancestor
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom