Recent content by Siri yangu

  1. Siri yangu

    JamiiForums Tanzania Nina Milioni 3 ni bora ninunue hisa za CRDB au niende Chalinze nikanunue kiwanja?

    Njoo nazo huku tunduru tutafuta jiwe moja tu unauga umaskini
  2. Siri yangu

    JamiiForums Tanzania Mstaafu ambaye alishastaafu lakini hataki kustaafu 'anastaafishwa'

    Sawa tuendeleee kusubiri code ni ngumu
  3. Siri yangu

    JamiiForums Tanzania Taarifa maalumu, 'operation' imesitishwa, nuru imeonekana na 'the State' wamesema apewe muda

    Brother kwanini lakini mbona huingii kazini?
  4. Siri yangu

    JamiiForums Tanzania Mstaafu ambaye alishastaafu lakini hataki kustaafu 'anastaafishwa'

    Nitalala hoi leo kwa kusubiri yatimie
  5. Siri yangu

    JamiiForums Tanzania Kitabu kilichoanza kuandikwa kisha kikaachwa kitamaliziwa katika hesabu hii

    Tuendelee kuzindua meli za wachina, huku tunawaambia wananchi ni zetu hizi
  6. Siri yangu

    JamiiForums Tanzania Israel Inatisha, Inaogopesha. Wairan Watoa Ya Moyoni Kwa Nini Israel Inaogopwa Sana na Iran

    Wapigwe tu hamna namna , wapigwe tu sasa tufanyeje nasema wapigwe ,
  7. Siri yangu

    JamiiForums Tanzania KERO Nimesafiri toka Mwanza-Musoma kiukweli barabara zetu bado ni changamoto

    Bado tunalipa kwanza Goli la mama
  8. Siri yangu

    JamiiForums Tanzania Steji ilipofikia vyombo vya habari tanzania vimepoteza direction angalia hapa hizi habari

    🤣🤣🤣🤣 kichwa cha habari kingine na habari yenyewe ni nyingine , hawa hata ukiwawahi hawawezi kupona bora utupie mamba mtoni
  9. Siri yangu

    JamiiForums Tanzania Kati ya Computer science na software engineering ipi ni kozi nzuri

    Ramadhani Mahene huyu
  10. Siri yangu

    JamiiForums Tanzania Makala Elimishi: Kwanini JWTZ Kamwe Haliwezi Kupindua Serikali Tanzania? Ni JWTZ ya Serikali ya CCM, ni JWTZ CCM!

    Japo huu uzi ndio nauona leo ama niliwahi kuuona na nikapuuzia kuisoma ila katika uzi huu umeandika ukweli mtupu hapa siwezi kupinga hata moja Ila jambo moja ambalo ni zuri au naya ambalo halijawahi kamwe kudumu katika hii dunia , historia ina mengi na kuna wakatili wengi ila il ipofika siku...
Back
Top Bottom