Recent content by Siri yangu

  1. Siri yangu

    Wassira: Lukuvi alijiunga TANU 1954

    Unamlaumu bure mzee huyu mkuu aliemteua ndio zero brain zaidi
  2. Siri yangu

    Nyasi zinapendezesha sana neighborhoods za Marekani

    Sasa mkuu unataka tisiweke mageti wakati tunapunguza vibaka , maana nchi yetu hata vyombo vya ulinzi tulivyovipa mamlaka ya kutulinda bado ni wezi wakubwa
  3. Siri yangu

    Tunaposema Shetani hana rafiki muwe mnaelewa, Mwangalieni Tulia Ackson kama Mfano kamili

    Ila mkuu una dhambi sana🤣🤣🤣🤣🤣
  4. Siri yangu

    Je, ni Dkt. Samia ndio haliamini Jeshi au kuna hali ya hatari ndani ya Jeshi?

    Mkuu habari yako nimekuelewa maoni yako, kuna yapo nimeyakubali ila nimeenda mbele kidogo vipi ikitokea watakaogomea kuongozwa hivi na wakamkaribisha adui atoke nje nini kitafuata ? Maana ni kweli unaweza kuziba ndani ila nje na kwa namna watu walivyo na maumivu hivi hawataweza kuwaficha
  5. Siri yangu

    Kila kitu kinapita kwenye hii dunia ila media imeniachia kumbukumbu nyingi sana

    Kwakweli nakumbuka mbali sana kipindi cha hakuna kulala na Deokaji Makomba simu zinapigwa watu wanatuma salamu daah
Back
Top Bottom