Sasa mkuu unataka tisiweke mageti wakati tunapunguza vibaka , maana nchi yetu hata vyombo vya ulinzi tulivyovipa mamlaka ya kutulinda bado ni wezi wakubwa
Mkuu habari yako nimekuelewa maoni yako, kuna yapo nimeyakubali ila nimeenda mbele kidogo vipi ikitokea watakaogomea kuongozwa hivi na wakamkaribisha adui atoke nje nini kitafuata ? Maana ni kweli unaweza kuziba ndani ila nje na kwa namna watu walivyo na maumivu hivi hawataweza kuwaficha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.