Hapo naona Prof. Tibaijuka kateleza au hakuelewa alichokizungumza. Anaposema Kafulila hakuwa sahihi alipokuwa anazungumzia kuhusu "samples" kuwa alichokisema kafulila siyo "stratified sampling" wala "non-stratified sampling". Napata tabu kidogo juu ya alivyojichanganya Prof.
Msingi wa hoja...
Ulishawahi kujiuliza ni kwa nini sisi wateja tunaziamini sana bank zote na kuweka hela (pengine hata mamilioni ya hela) zetu kwao ila wao hawatuamini hata chembe kiasi kwamba hata kalamu(pen) wanazifunga kamba. Hii imekaaje?
Tukazitoe hela zetu wao hawatuamini hata kidogo!
Tatizo inawezekana ndoa bado ni changa na huwezi jua mdada ali struggle vipi mpaka akaifanikisha hilo la kufunga ndoa. Kingine, pamoja na kuwa jamaa anafanya kazi serikalini sio kigezo cha yeye tu kuamua kuacha kazi bila kuwa na sababu ya msingi, huwezi jua hiyo kazi hata kama ina mshahara mdogo...
Sidhani kama tunajaribu upaka rangi upepo.
Ninachoelewa ni kuwa kabla ya mtu kufanya reaserch/study ana kuwa na lengo (Objective) yake. Na ili aweze kujibu/kupata majibu ya hiyo objective unaandaa tools(mfano, questionnaire). Tool hii inakuwa na proxy au variables ambazo researcher anaamini...
St.Ivuga kama nimewaelewa wachangiaji wengine vyema ni kuwa, concern yao kubwa ni kuwa serikali inachangia katika taasisi ya kikristo ambazo zinahudumia jamii zote za wakristo na wasio wakristo. Huduma hizi ni kama mahospitali ambayo mtu yeyote anaweza kwenda kutibiwa na pengine bila kuulizwa...
Naomba kuuliza, hivi mfano mwanaume wa kikristo ameoa binti wa kiislam na ikaja kutokea wamtofautiana au mirathi, ndoa hapo masuala ya hukumu yatakuwaje kwa mahakama ya Kadhi? Ukizangatia huyu mume ni mkristo, hapo najaribu kujiuliza. Mwenye uelewa wa hili naomba anifahamishe. Maana baadae...
Cheyo
Ngambo (Hapo ndo warembo wengi huwa wanatokea mitaa hii, ila tatizo nyumba nyingi za eneo hili zimewekewa mawakili zisianguke)
Itetemya (Wenyeji huita Itetemia)
National
Kiyungi
Chem chem (Kama vile N'gambo)
Mwinyi
Kitete
Kanyenye
Uhazili
Bachu
Gongoni
Isike
Check line (wenyeji wa...
Inategemea na unachokusudia/ulichokusudia katika kutamka/kufikisha ujumbe wako.
Mfano wa maneno ambayo yanaweza kutumiwa na yakawa na maana tofauti ni;
NIGISHAGE TAMU- Nisalimie kwanza
NG'WISHAGE TAMU- Ninyweshe kwanza
NGWISHAGE TAMU- Niangushe kwanza
Kazi ni kwako!
ZIFUATAZO NI ADHABU ZITOLEWAZO KWA UVUNJAJI WA SHERIA ZA CHAMA CHA WANYWAJI POMBE:
Kosa la kumtoroka mlevi mwenzako kwenye Bar Jela miezi tisa.
Kuacha kunywa pombe na fedha unazo Kifungo cha maisha.
Kuvunja chupa ya beer Jela miaka miwili.
Kumkaribisha mume au mke wa rafiki yako bila...
Tumsamehe tu na tu assume suala la shule HADAIWI ikiwa anajua kusoma na kuandika!, nami nimepitia huko kwenye website ya bunge sijaona cha darasa la kwanza au zaidi ya hapo. Tumsamehe tu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.