Recent content by Sirdirashy

  1. Sirdirashy

    Naitaji Toyota Crown Athlet ya mwaka 2011

    Mkuu hiya ya 2004 - 2008 hupati hiya bei Acha kijifyatua akilli
  2. Sirdirashy

    JamiiForums Usiku wa manane

    1:56
  3. Sirdirashy

    Naomba msaada wa Kisheria, ndugu yangu kapachikwa ujauzito

    Mambo hayo yako njee ya nchi huko sio huku upachike mtoto wawatu yuko Chuo unalipa fidia ela sio yakitoto kwaajili yakukatisha mwanafunz masomo au kifungo. Lakini bongo 18 below age sawa ila naskia mama amepeleka mpaka 22 anzia hapo km yuko below 22
  4. Sirdirashy

    Chalamila Aonywe, Asilidharaulishe Jeshi

    Bora wafanye usafi tu kwa tahadhari ya kipindipindu nawajue ili iwe elimu ya vitendo raia ndo maboss zao sihuwa wanatupiga raia huku mtaani tena wakasafishe na vyoo vya public safi sana. JWTZ Iheshimiwe
  5. Sirdirashy

    Ila biashara nyingine Sinza zinachekesha sana

    Huyo hajafeli bado maana angeweka nguo au vyakula rahisi sana kuaribika mshauri usimcheke abadilishe eneo la biashara asogee makumbusho stand, Mwenge afadhali
  6. Sirdirashy

    MSAADA: Utukutu wa mtoto wa ndugu yangu unanishinda, anafanya matukio kila kukicha, nifanyaje?

    Daa pole sana mkuu kwa mtihani. Ila jaribu hii njia umesema una rafiki na polisi au km unarafiki mwanajeshi itakuwa vizuri zaidi mkabidhi kwao. Kila asubuhi awe anareport kwao na jioni anaporudi shule. Hapo weka mawasiliano na mwalimu vizuri asipofika shule unatoa report anapo report yeye...
  7. Sirdirashy

    Kwa imani ya kitanzania: Bila kuroga roga mafanikio utayasikia na utajikuta unasindikiza wenzako?

    Kama Muislam tumia sana visomo Qur an na ww binafsi muombe Mungu nakuhakikishia atakupa hitaji lako na kama mkristo hivyo hivyo pendelea maombi na jiombee mwenyewe ukishindwaaa [emoji24][emoji24] hayo. Plan B Ukiona huna subra nenda huko utakako kwa Wanganga km Umeomba kazi utaitwa hata kama...
  8. Sirdirashy

    Rais Samia mfariji mkuu wa taifa

    Safi sana
  9. Sirdirashy

    Bima ya afya ya NHIF ni useless kabisa...

    Ndokwanza ujue leo km typhod bima hailipi hicho kipimo labda wataalam waje watueleze sababu nini haswa. Nasio hicho kuna kile kipimo cha alergy pia vyengine nimesahau
  10. Sirdirashy

    Dhambi ambazo huwezi tubu peke yako bila kushirikisha watumishi wa Mungu

    Ukimuomba msamaha kwa dhati hata km ni wewe Pekee anakusamehe
  11. Sirdirashy

    Naomba kujua Mmiliki wa Hotel inayokuja kwa Kasi sana Unguja Zanzibar ya Kwanza Hotel

    Wenyewe Wa Spain achana na hiyo kitu iko pwani mchangani 5 Star
  12. Sirdirashy

    Mliokuwepo miaka ya 70s mtuambie el nino ilianzaje, tuchukue tahadhari

    Sie wakazi wa magomeni mapipa nilikuwa la kwanza mpaka leo nakumbuka mvua ilikuwa taratibu ili haikomi kuna wakati ikipoa Dar pwani inayoyoma. Matukio ninayokumbuka edikopta zilikuwa zinatega mto msimbazi pale Madaba, jangwani na kigogo kuokoa watu waliosombwa na mafuriko na edikopta nyengine...
  13. Sirdirashy

    Naomba kujua Mmiliki wa Hotel inayokuja kwa Kasi sana Unguja Zanzibar ya Kwanza Hotel

    Ingia Kilindini ukale bata wewe achana na story za kwanza Hotel na mafumbototo [emoji23][emoji3]
Back
Top Bottom