Mambo hayo yako njee ya nchi huko sio huku upachike mtoto wawatu yuko Chuo unalipa fidia ela sio yakitoto kwaajili yakukatisha mwanafunz masomo au kifungo. Lakini bongo 18 below age sawa ila naskia mama amepeleka mpaka 22 anzia hapo km yuko below 22
Bora wafanye usafi tu kwa tahadhari ya kipindipindu nawajue ili iwe elimu ya vitendo raia ndo maboss zao sihuwa wanatupiga raia huku mtaani tena wakasafishe na vyoo vya public safi sana. JWTZ Iheshimiwe
Huyo hajafeli bado maana angeweka nguo au vyakula rahisi sana kuaribika mshauri usimcheke abadilishe eneo la biashara asogee makumbusho stand, Mwenge afadhali
Daa pole sana mkuu kwa mtihani.
Ila jaribu hii njia umesema una rafiki na polisi au km unarafiki mwanajeshi itakuwa vizuri zaidi mkabidhi kwao. Kila asubuhi awe anareport kwao na jioni anaporudi shule. Hapo weka mawasiliano na mwalimu vizuri asipofika shule unatoa report anapo report yeye...
Kama Muislam tumia sana visomo Qur an na ww binafsi muombe Mungu nakuhakikishia atakupa hitaji lako na kama mkristo hivyo hivyo pendelea maombi na jiombee mwenyewe ukishindwaaa [emoji24][emoji24] hayo.
Plan B Ukiona huna subra nenda huko utakako kwa Wanganga km Umeomba kazi utaitwa hata kama...
Ndokwanza ujue leo km typhod bima hailipi hicho kipimo labda wataalam waje watueleze sababu nini haswa. Nasio hicho kuna kile kipimo cha alergy pia vyengine nimesahau
Sie wakazi wa magomeni mapipa nilikuwa la kwanza mpaka leo nakumbuka mvua ilikuwa taratibu ili haikomi kuna wakati ikipoa Dar pwani inayoyoma.
Matukio ninayokumbuka edikopta zilikuwa zinatega mto msimbazi pale Madaba, jangwani na kigogo kuokoa watu waliosombwa na mafuriko na edikopta nyengine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.