Unataka kufungua biashara wapi. Mbona just simple Nenda TRA Upate Tin ya biashara than wakupe clearence than uende Manispaa au jaza mwenyewe kwenye mfumo wao Tausi. Than the rest is history
Mkuu hiyo kesi ishamaliza wewe nenda nae hivyohivyo wacha mamlaka iamue yalimkuta rafiki yangu haya Miaka zaidi ya 3 ni vituko tu mwisho mwanamke akaenda ngazi hizohizo. Mwisho wakaachana na kugawana mali.
So kwenye wito wowote ww nenda na lolote litakalo amuliwa na mamlaka kama kugawana mali...
Ooh inasikitisha sana Mungu atuepushe na hii mitihani aisee Ila fanya tu kumsaidia huyo mtoto kama nirafiki yako toka nitoke nina imani utakuwa unajuana na ndugu zake mtafute yule anaemuheshimu mwaambie waamfikishie huo ujumbe km utakuwa una ushahidi itakuwa poa sana than achana nae.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.