Recent content by Sirdirashy

  1. Sirdirashy

    Ninawachukia sana bodaboda na makonda wa daladala

    Mafala kweli kuna siku nimeshuka Sokoni wanaambizana ola unamuona mshua nafika wanaanza kunisalimia Mshua Habari za mchana
  2. Sirdirashy

    Vibali vipi vinahitajika ili kufungua biashara?

    Ukiwa na Nida unaweza kufanya mwenyewe kwenye mfumo wao taxpayerportal.tra.go.tz than ingia sehemu ya log up au sin up. Clearence lazima uende ofisini
  3. Sirdirashy

    Vibali vipi vinahitajika ili kufungua biashara?

    Unataka kufungua biashara wapi. Mbona just simple Nenda TRA Upate Tin ya biashara than wakupe clearence than uende Manispaa au jaza mwenyewe kwenye mfumo wao Tausi. Than the rest is history
  4. Sirdirashy

    Nahitaji kuagiza Mazda CX-5, kwa wazoefu naombeni ushauri kwa mambo naenda kuyaelezea

    Nunua ila nenda na 2015 au 2016 zimeshakuwa solved na mambo mengi kwa generation zilizopita hazina changamoto yoyote spare zipo.
  5. Sirdirashy

    Faida na changamoto za magari yanayotumia cng ( compression natural gas) part 1

    Washauri tuu wanunue Hybrid yaani umeme hata Bajaji zipo za umeme mkuu gesi zinaaribu performance ya chombo unakuwa kama unaendesha mkokoteni
  6. Sirdirashy

    Changamoto mbalimbali za kiufundi zinzoikumba Toyota Crown

    Labda ununue mbovu nimetumia miaka miwili nakaisukuma zaidi ya service hakuna nilichofanya.
  7. Sirdirashy

    Baada ya Master J kumkejeli Ali Kiba kuwa ni mbana pua, Ali Kiba ajibu mapigo

    Safi sana King Kiba kama mbwai iwe mbwai tuu toka lini kiba na wabana pua.
  8. Sirdirashy

    Baada ya Wife kuniweka Lockup naona kama natengenezewa mazingira ya ku react nichukue hatua kali

    Mkuu hiyo kesi ishamaliza wewe nenda nae hivyohivyo wacha mamlaka iamue yalimkuta rafiki yangu haya Miaka zaidi ya 3 ni vituko tu mwisho mwanamke akaenda ngazi hizohizo. Mwisho wakaachana na kugawana mali. So kwenye wito wowote ww nenda na lolote litakalo amuliwa na mamlaka kama kugawana mali...
  9. Sirdirashy

    Muimbaji wa injili Goodluck achoma moto gari alilopewa zawadi na mchungaji

    Anngeenda kuligawa hata kwenye taasisi za kusaidia jamii lingetumika katika harakati hizo angekuwa amefanya jambo la maana
  10. Sirdirashy

    Unywaji wa mafuta gari ndogo

    Nunua hybrid prius, auris, mitsubish mirage au mazda verisa uje kutoa mrejesho. Hizo ulisema naunga mkono hamna lolote 11 imeenda 12 km per litter
  11. Sirdirashy

    Rafiki yangu kanipa kesi, kisa nimemsaidia mtoto wake mwenyewe

    Ooh inasikitisha sana Mungu atuepushe na hii mitihani aisee Ila fanya tu kumsaidia huyo mtoto kama nirafiki yako toka nitoke nina imani utakuwa unajuana na ndugu zake mtafute yule anaemuheshimu mwaambie waamfikishie huo ujumbe km utakuwa una ushahidi itakuwa poa sana than achana nae.
  12. Sirdirashy

    FT: Simba SC 3-1 Al Ahly Tripoli | CAFCC | 2nd Leg | Benjamin Mkapa Stadium | 22-09-2024

    HAHAHAAAA Mkuu mkeka wangu bado unahema vizuri🤣🤣🤣
Back
Top Bottom