Recent content by Sir-mganah

  1. S

    Uyoga kwa kipato, ajira na kupunguza utapiamlo

    Asante sana kwa somo hili Mimi ni moja ya watu wanaotamani sana kuanzisha shughuli hii ya uyoga lakini sijapata mwongozo. Mnapatikana wapi niwatafute
  2. S

    Ufugaji wa kisasa wa Sungura: Ushauri wa masoko na faida za ufugaji

    Mnapatikana wapi naomba contacts zenu
  3. S

    Kuchimba Kisima cha Maji

    Mimi Niko pangani nataka Kisima chenye uwezo wa kumwagilia bustani ya heka 40 utanifanyia bei gani?
  4. S

    Gharama za kuleta bidhaa kutoka China

    Then mimi nahitaji kuagiza sport bicycles kama pieces 100 hivi toka China naanzaje Ku order pamoja na na taratibu zingine ....Msaada pl
  5. S

    Gharama za kuleta bidhaa kutoka China

    Nineipenda hii thread inatusaidia wengi kujua tusoyajua
  6. S

    dhulum

    DHULUMA, DHULUMA, DHULUMA IRAMBA MAGHARIBI !!!!!!!!!!!! WAPI MBUNGE WANGU MWIGULU NCHEMBA……………. Kwa kujikumbusha tu niliandika taarifa kama hii mwaka jana na Mbunge wangu Mh. Mwigulu Nchemba aliahidi kuifanyia kazi na bila shaka aliitekeleza na sasa limeanza tena. Kama kawaida yangu napenda...
  7. S

    Dhuluma yaserikali sikivu na kodi za mifugo zinazoendelea kunyanyasa wafugaji singida

    DHULUMA, DHULUMA, DHULUMA IRAMBA MAGHARIBI !!!!!!!!!!!! WAPI MBUNGE WANGU MWIGULU NCHEMBA……………. Kwa kujikumbusha tu niliandika taarifa kama hii mwaka jana na Mbunge wangu Mh. Mwigulu Nchemba aliahidi kuifanyia kazi na bila shaka aliitekeleza na sasa limeanza tena. Kama kawaida yangu napenda...
  8. S

    Umoja wa vijana wazalendo wa vyuo vya elimu ya juu Dar walaani kauli za mwenyekiti CHADEMA

    binafi nashukuru mungu coz chuo changu hakijajumuishwa katika list tajwa hapo juu maana ni aibu kuona wasomi wanaganga nja kama huyu mtoa post
  9. S

    Wasiwasi wa ccm juu ya katiba wanayoitaka wananchi

    Wamezoea vya kunyonga vya kuchinja vimewashinda, sasa badala ya kupitisha rasimu ya katiba iliyopelekwa na tume ya katiba iliyofanya kazi kwa zaidi ya mwaka mmoja kukusanya maoni ya wananchi, bila kujali hayo yote pamoja na gharama kubwa ambayo taifa limeingia leo naccm wanakuja na rasimu...
  10. S

    Ccm wasambaza vijana nchi nzima kuipotosha kauli ya kamanda lisu

    HABARI ZA SAA HIZI WAKUU KUNA TAARIFA KWAMBA CHAMA CAHA MAPINDUZI CCM wameamua kasambaza wanachama wao nchi nzima kuhakikisha kwamba wanaifuta kauli ya MH. Lisu aliyoitoa bungeni katika siku za hivi karibuni alipokuwa akiwasilisha ripoti ya maoni ya wachache kauli hizo nji kama ifuatavyo. 1...
  11. S

    Tumeripoti polisi na Mhe. Sugu

    Pamoja kaka nasari endelea kutupa up date.
  12. S

    Mbowe atolewa nje ya bunge

    jana wakati nikiwa nimepata dakika kiduchu za kuchungukia kile kinachoendelea huko mjengoni nilishitushwa na kauli aliyoitoa mh. naibu spika wa bunge la jamhuri ya muunga no wa tanzania baada ya wapinzani kutoka nje ya bunge kwa kuwaambia kwamba WANANCHI WANAWAONA NA KUWASHANGAA HUKO MAJIMBONI...
  13. S

    KILIO changu kwa Mbunge wa Iramba Magharibi - Mwigulu Nchemba

    Namshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunijalia neema wakati huu, baada ya pilikapilika za chuo na ma somo sasa ni wakati wa likizo na kama ilivyo kawaida kwa sisi vijana wazalendo wapenda nchi nikaamua kwenda kijijini kwetu kumsabahi bibi yangu anayeishi hapa mkoani SINGIDA katika wilaya ya IRAMBA...
  14. S

    News alert: Makamu wa rais chuo kikuu tumaini dar kuburuzwa mahakamani.

    Ndugu wana jf taarifa tulizozipata hivi punde ni kwamba ndg: JACKSON SHUMBI aliyekuwa makamu wa rais na anayemaliza muda wake kwa nafasi hiyo amefunguliwa mashtaka katika MAHAKAMA KUU YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA kwa kile kinachodaiwa kuwa alishirikiana na management ya chuo hicho...
  15. S

    CHADEMA haitavumilia kutokuonyeshwa Bunge "LIVE'-Mnyika

    Hongera kaka jj kwani hao majamaa wanachokoza moto aiseeeeee wajaribu waone hii inadhihirisha wazi kuwa kipimo cha ujinga ccm kimekomaa kinastahili kuadabishwa kwelikweli
Back
Top Bottom