Tanza
Tanzania ni moja ya nchi pekee duniani ambazo wajinga ndio watumishi wa umma,, wajinga ndio wasimamizi wa fedha za umma,,wajinga ndio wako mstari wa mbele kuijenga nchi,,angalia cv ya mama yenu haina darasa la 14,cv imejaa certificates tuu then leo anaongoza nchi,,unategemea nini???