Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla, amesema uchunguzi umebaini kuwa mshumaa uliowashwa na mateja ndio sababu ya kuungua kwa soko la Karume na kusema anaamini jeshi la polisi litakuchua hatua stahiki kwa wahusika kwa kuwa wanajulikana.
“Sasa zile hisia za nani kachoma nini, mmeona...
NAWAANDIKIA kuwahimiza vijana wa CCM kuipigania CCM na serkali yake popote mtakapokuwa, iteteeni CCM, mtetee Rais wetu Samia Suluhu Hassan, semeni mema yanayofanyika na awamu ya sita kwa nguvu zote.
Msiposema nyinyi watasema maadui zetu, ambao kamwe hawatasifia isipokuwa kuwaaminisha watu...
MKURUGENZI Mtendaji wa Makampuni ya Global Group, Eric Shigongo amempongeza Rais Dk John Pombe Magufuli kwa uamuzi wake wa kipekee wa kutoifunga Tanzania (lockdown) katika kipindi hiki cha Ugonjwa wa COVID-19 na kuwataka wananchi wake kuendelea kuchapa kazi huku wakichukua tahadhari za kujikinga...
Dar es Salaam. Kiongozi wa chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amewakabidhi kadi za uanachama wa chama hicho waliokuwa vigogo wa Chama cha Wananchi (CUF) huku Maalim Seif Sharif Hamad akipewa kadi namba moja na Juma Haji Duni akikabidhiwa kadi namba 10.
Shughuli ya kukabidhi kadi hizo...
"Sisi tunaamini kuwa Mwalimu Nyerere ndiyo mzalendo pekee wa taifa hili kwa sababu alikubali mfumo wa vyama vingi vya siasa akijua kuwa kuna siku chama chake cha CCM kitashindwa kuiongiza nchi hii" Hashim Juma - M/Kiti wa Baraza la Wazee Chadema
Hashim Juma - M/Kiti Baraza la wazee Chadema...
Kilichofanywa ni hatua ya awali kumtoa mgonjwa eneo la ajali sasa anatakiwa apelekwe hospitali apatiwe matibabu na tiba ni kurudisha sheria Bungeni kwa hati ya dharura ili haya mambo yawe kisheria yaweze kutekelezeka.
Ili mambo haya yaweze kutekelezeka ni lazima Mwanasheria Mkuu wa Serikali...
Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP) Tanzania, Simon Sirro amesema waliomteka mfanyabiashara Mohammed Dewji ‘Mo Dewji’ walitaka kupewa fedha licha ya kutotaja kiwango wanachohitaji.
Sirro ametoa kauli hiyo leo Jumamosi Oktoba 20, 2018 katika viwanja vya Gymkhana jijini Dar es Salaam ambako...
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu leo kimezindua ripoti ya nusu mwaka ya matukio ya uvunjifu wa #HakiZaBinadamu kwa kipindi cha nusu mwaka kuonyesha jinsi hali inavyoendelea
Matukio ya ukatili kwa wanawake yameongezeka ikilinganishwa na mwaka jana, kwa kipindi cha kuanzia Januari 2018 hadi...
-Rais amechoka kutenga bajeti kila mwaka wa bajeti kulisha wafungwa na wahalifu badala ya kuhudima wananchi kwenye afya, elimu, miundombinu, reli, ndege, na miradi ya umeme.
-Rais ameniagiza kuhakikisha magereza yote nchini, wafungwa kwa kutumia nguvu zao kuwa sehemu ya kujutia kile...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.