Recent content by Sir Lindege

  1. Sir Lindege

    Amos Makalla: Chanzo cha moto wa soko la Karume ni mshumaa uliowashwa na mateja

    Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla, amesema uchunguzi umebaini kuwa mshumaa uliowashwa na mateja ndio sababu ya kuungua kwa soko la Karume na kusema anaamini jeshi la polisi litakuchua hatua stahiki kwa wahusika kwa kuwa wanajulikana. “Sasa zile hisia za nani kachoma nini, mmeona...
  2. Sir Lindege

    Wito wa Shigongo wa Vijana wa UVCCM

    NAWAANDIKIA kuwahimiza vijana wa CCM kuipigania CCM na serkali yake popote mtakapokuwa, iteteeni CCM, mtetee Rais wetu Samia Suluhu Hassan, semeni mema yanayofanyika na awamu ya sita kwa nguvu zote. Msiposema nyinyi watasema maadui zetu, ambao kamwe hawatasifia isipokuwa kuwaaminisha watu...
  3. Sir Lindege

    Hadharani: Shigongo Alivyomsema Rais Magufuli Kijasiri Marekani

    MKURUGENZI Mtendaji wa Makampuni ya Global Group, Eric Shigongo amempongeza Rais Dk John Pombe Magufuli kwa uamuzi wake wa kipekee wa kutoifunga Tanzania (lockdown) katika kipindi hiki cha Ugonjwa wa COVID-19 na kuwataka wananchi wake kuendelea kuchapa kazi huku wakichukua tahadhari za kujikinga...
  4. Sir Lindege

    Zitto amkabidhi Maalim Seif kadi namba 1, Babu Duni namba 10

    Dar es Salaam. Kiongozi wa chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amewakabidhi kadi za uanachama wa chama hicho waliokuwa vigogo wa Chama cha Wananchi (CUF) huku Maalim Seif Sharif Hamad akipewa kadi namba moja na Juma Haji Duni akikabidhiwa kadi namba 10. Shughuli ya kukabidhi kadi hizo...
  5. Sir Lindege

    CHADEMA: Ukimya wetu, unyonge wetu usitafsiriwe kuwa ni udhaifu wetu, ni busara zetu tuu ili tuendelee kuwa na nchi yenye amani

    "Sisi tunaamini kuwa Mwalimu Nyerere ndiyo mzalendo pekee wa taifa hili kwa sababu alikubali mfumo wa vyama vingi vya siasa akijua kuwa kuna siku chama chake cha CCM kitashindwa kuiongiza nchi hii" Hashim Juma - M/Kiti wa Baraza la Wazee Chadema Hashim Juma - M/Kiti Baraza la wazee Chadema...
  6. Sir Lindege

    Ester Bulaya: Utaratibu wa zamani wa ukokotoaji wa mafao hautakiwi kuishia katika maneno, upelekwe bungeni kutungiwa sheria

    Kilichofanywa ni hatua ya awali kumtoa mgonjwa eneo la ajali sasa anatakiwa apelekwe hospitali apatiwe matibabu na tiba ni kurudisha sheria Bungeni kwa hati ya dharura ili haya mambo yawe kisheria yaweze kutekelezeka. Ili mambo haya yaweze kutekelezeka ni lazima Mwanasheria Mkuu wa Serikali...
  7. Sir Lindege

    Kutekwa kwa Mo: IGP Sirro aonya wanaopingana na maelezo aliyoyatoa juu ya ulipofikia uchunguzi

    Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP) Tanzania, Simon Sirro amesema waliomteka mfanyabiashara Mohammed Dewji ‘Mo Dewji’ walitaka kupewa fedha licha ya kutotaja kiwango wanachohitaji. Sirro ametoa kauli hiyo leo Jumamosi Oktoba 20, 2018 katika viwanja vya Gymkhana jijini Dar es Salaam ambako...
  8. Sir Lindege

    RIPOTI-LHRC: Watoto 2,365 wamebakwa kutoka Januari hadi Juni mwaka huu huku 533 wakilawitiwa

    Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu leo kimezindua ripoti ya nusu mwaka ya matukio ya uvunjifu wa #HakiZaBinadamu kwa kipindi cha nusu mwaka kuonyesha jinsi hali inavyoendelea Matukio ya ukatili kwa wanawake yameongezeka ikilinganishwa na mwaka jana, kwa kipindi cha kuanzia Januari 2018 hadi...
  9. Sir Lindege

    Sakata la Lugumi & NIDA, Lugola ampa maagizo mengine IGP Sirro, ataka awafikishe kwake

    -Rais amechoka kutenga bajeti kila mwaka wa bajeti kulisha wafungwa na wahalifu badala ya kuhudima wananchi kwenye afya, elimu, miundombinu, reli, ndege, na miradi ya umeme. -Rais ameniagiza kuhakikisha magereza yote nchini, wafungwa kwa kutumia nguvu zao kuwa sehemu ya kujutia kile...
Back
Top Bottom