Ndugu Folk kama una taka maisha yarudi na magonjwa yaishe uwe huru naomba nitafute kwa namba hizi 0753570709 sihitaji hata mia yako ndugu yangu nia yangu upone ufurahie tena makusudi ya Mungu juu yako,thanks kama uta ridhia ndugu...
Dada kwa ist ukisema ni ndogo uta ua engine au haliwezi kwenda mbali nakukatalia,binafsi I.s.t nime wahi toka nayo msumbiji mtopweshi hadi arusha na ilikua kipindi cha mvua za masika kama sasa hivi nili tembea siku siku mbili lakini nikipumzika nnjiani hadi dar nikapoaa siku mbili tena natembea...
Hahhahaa mkuu we nouma sana nimecheka sana daa,ila kweli huyu dada ana shida ya kimaadilii hasa kwenye eneo la mke na mume,hujafundishwa hekima ya kuishi kwenye agano hasa zinapo tokea changomoto kama hii ya sasa aliyo nayo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.