Recent content by sir jnr

  1. S

    Kina kaka jamani mbona mnasikitisha kiasi hiki?

    Si kila usikialo lina ukweli wengine hupenda kuchafua watu kwa sababu binafsi ambayo wewe na mimi hatujui.
  2. S

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    Mkuu Mshana jn niko na Toyota premio d4. Nimetumia Gari hii kwa muda mrefu bila tatizo lakini sasa ghafla imeanza kupoteza nguvu kwenye mlima inajikongoja na kuchanganya inachelewa na nikikimbia Gari inastukastuka hata speed 90 haifiki inamis na sometime inazima ukiiwasha haitaki ila ikikaa muda...
  3. S

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    Wadau kuna tatizo limenitokea barabarani nikiwa na Gari mpaka sasa sielewi tatizo nini!. Nilikuwa na overtake Gari nilikuwa speed 90 km/h baada tu ya kumaliza overtake Gari ikawa haitaki kwenda inapiga kelele tu kama kwamba haiko kwenye gia ilinibidi nitoke barabara kuu na kuingia service road...
  4. S

    Fahamu kuhusu matumizi ya OverDrive (OD) kwenye gari automatic

    OD ikiwa off utaona dashboard taa imewaka na maandishi haya yatasomeka "o/drive is off" usipoona ikiwaka jua ipo ON
  5. S

    Kwanini Rav4 huota tege?

    Hahahahaaa komesha
  6. S

    Kwanini Rav4 huota tege?

    Inakula tyre upande Mmoja ni lazima kurekebisha
  7. S

    Star TV acheni upotoshaji kuhusu Mahakama ya Kadhi

    Mahakama ya khadhi haiendeshwi na kodi za wananchi na si kweli kwamba itahusisha wasiokuwa Waislam hoja ya msingi waislam wanahitaji ridhaa ya Serikali tu gharama za uendeshaji wala hawazihitaji kwa hiyo wako sahihi tu kama alivyofafanua huyo mtangazaji ingawa unampinga.
  8. S

    "Traffic" Nunua gari yako upande

    Leo una Gari lakini kesho unaweza usiwe nalo tuache kujiskia
  9. S

    Mnisamehe ila sitawasahau waarabu wa ISIL

    Adhabu za fair ndizo zinazopelekea mpaka leo albino anauawa na muuaji anadunda street!..hukumu ya muuaji ni kuuawa tu na mwizi akatwe mkono..mzinifu ikiwa ameoa/kuolewa atapigwa mawe mpaka kufa na ikiwa hajaoa/kuolewa ni viboko 100. Hizo ni adhabu kali na chungu vp wewe ungejaribu kufanya...
  10. S

    Mnisamehe ila sitawasahau waarabu wa ISIL

    Usome kwanza uislam na mafundisho yake na hukumu zake kisha uongee!! Usikurupuke kaka kwa makosa ya baadhi ya waislam. Raiti hukumu za kiislam zingefuatwa pasingekuwapo na uharibifu ktk dunia hii.
  11. S

    Mnisamehe ila sitawasahau waarabu wa ISIL

    Hapana kaka pamoja na hayo kuna mipaka ya binaadam kuhukumu ikiwa umemwamini Muumba wako. Mfano Adhabu ya moto hapaswi binadam yyt kuitumia ispokuwa ni Muumba peke yake Unatakiwa kushinda Hasira zako kwa kulinda heshima ya dini yako.
  12. S

    ISIS wamchoma akiwa hai rubani mateka wa Jordan

    Ni Mungu peke yake ndiye mwenye mamlaka ya kutoa hukumu ya Moto na ni hatia kubwa sana kwa binadam kuhukumia moto..!!! Mbaya zaidi wanachanganya dini na siasa ni watu wasiokubalika kabisa ktk jamii.
  13. S

    ISIS wamchoma akiwa hai rubani mateka wa Jordan

    Dah ! Haya mengine ni makubwa sana .
Back
Top Bottom