Kiukweli hali ni tete sana huku fild!! Maana kuna wanafunzi ambao wameenda kufanyia fild ktk mikoa ambayo sio kwao wala kuwa nandugu. Naisihi serikali ilichukulie tatizo hili serious maana kuna mwalimu mmoja jana ktk kituo fulani alianguka darasani kwa kukosa chakula siku mbili
Kwani Mh Membe kuwa shabiki wa yanga ni dhambi!!? Acha siasa zenu za uchwara coz hamna connection kati ya mambo ya mpira na siasa !!! Try to thnk critically broo
You should be objective and avoid subjectivism!!! Unaposema Lusinde alikuwa anaporomosha matus wat about lema??? Plz wa jf tujalibu kuwa tunaepuka ushabiki
Jamani watanzania wenzangu tujaribu kuukwepa uchochezi wa namna hii maana unaweza kupeleka taifa letu pabaya.sihamini na sitaki kuhamini kma polisi wetu wazalendo wanaweza kufanya kitu nönsense kma hicho!! Ni vizuri tukasubiri taarifa rasmi ambayo itatupa picha kamili ya tukio na mwisho sisi...
Ni masikitiko makubwa ktk nchi yetu kwa kumpoteza kiongozi shupavu ,ambaye alikuwa ameanza kuonyesha muelekeo mzuri wa uchumi ktk nchi yetu lakn mungu alitoa na mungu ametwa jina lake lihimidiwe,amen
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.