Nilishakuwa kwenye hii situation na niliteseka kweli kweli nilipungua kilo za kutosha ila nilipojifunza kuwa moto haukumbatiwi..Now nipo single na naishi kwa raha sana..Kujipenda na kuwa Top notch in your own kingdom ndo jambo la msingi.
vinapata ajali vitanda kwa chaga kuvunjika wakati wa game sembuse gari?..ajali ni ajali tu..mnyanduano uendelee mahali popote inapofaa maana ajali haina kinga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.