Hii nimeshudia Kijiji kwetu tena jirani na nyumbani Mama mmoja hakupata aliolewa hakupata Mtoto, akaoa Mkamwana naye hakupata Mtoto, mukamwana akaoa mukamwana akapata Watoto yule Mama naye akaoa tena na akapata Watoto
Kweli kabisa ndugu, Ajira zingebaki utumishi, hii ya kuruhusu taasisi ziajiri ndio unakuta Taasisi imejaza watu wa Kabila moja au dini moja kisa Mtendaji Mkuu alikuwa wa Kabila Hilo au dino hiyo, yalishatokea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.