Recent content by Sinzi Wangwe

  1. Sinzi Wangwe

    JamiiForums Tanzania Betting ni ngumu

    Haifai hata kidogo
  2. Sinzi Wangwe

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Responded Serikali chukueni hatua za haraka dhidi ya Nabii Dominiki "Kiboko ya Wachawi"

    Umemaliza, watanzania lazima tuelewe maana ya uhuru wa kutoingiliwa ni pamoja na wewe kujiamulia mambo Yako binafsi
  3. Sinzi Wangwe

    JamiiForums Tanzania Wiki ya siku 4 kikazi imefanyiwa majaribio UK. Je, tutafuata mkumbo na jee inatufaa?

    Hoja sio kuwa Nyuma, hii inatokana na ukuajiaji wa technolojia hasa upande wa matumizi ya AI.
  4. Sinzi Wangwe

    JamiiForums Tanzania Makundi ya Kigaidi ya Kikristo

  5. Sinzi Wangwe

    JamiiForums Tanzania Makundi ya Kigaidi ya Kikristo

  6. Sinzi Wangwe

    JamiiForums Tanzania Ndugu zangu Wakurya, Naomba mnieleweshe kuhusu zile ndoa zenu za Mwanamke kumuoa mwanamke.

    Hii nimeshudia Kijiji kwetu tena jirani na nyumbani Mama mmoja hakupata aliolewa hakupata Mtoto, akaoa Mkamwana naye hakupata Mtoto, mukamwana akaoa mukamwana akapata Watoto yule Mama naye akaoa tena na akapata Watoto
  7. Sinzi Wangwe

    JamiiForums Tanzania Waliosoma Musoma technical high school

    Duuu, namkumbuka, tulikuwa naye Dom, japo alikuwa mbele yangu, amehitimu 2007. Kama sijakosea atakuwa ni askari jeshi Kwa sasa
  8. Sinzi Wangwe

    JamiiForums Tanzania Mkuu wa Ujasusi wa Marekani atua Israel kwa Mashauriano na Netanyahu, hali inazidi kuwa mbaya!

    Pia Intelligence System (CIA, FBI etc) za amerika wanaoziendesha mostly ni Israel, sababu ndio wanao aminika zaidi
  9. Sinzi Wangwe

    JamiiForums Tanzania Wanaichukia democrasia ya marekani huku wakifurahia matunda yake

    Wanafiki tuu, Leo wakipata offer wachague nchi ya kwenda kuishi Kati ya Marekani na Russia watachagua Marekani.
  10. Sinzi Wangwe

    JamiiForums Tanzania Yameanza kwa TRA yatafata kwengine, TRA kusimamia wenyewe ajira badala ya utumishi tunarudi kule kule kwenye ajira za ukoo na kujuana

    Kweli kabisa ndugu, Ajira zingebaki utumishi, hii ya kuruhusu taasisi ziajiri ndio unakuta Taasisi imejaza watu wa Kabila moja au dini moja kisa Mtendaji Mkuu alikuwa wa Kabila Hilo au dino hiyo, yalishatokea
  11. Sinzi Wangwe

    JamiiForums Tanzania Mliambiwa mseme kabisa Al Merreikh ni wazuri au vibonde?

    Amecheza na wakimbizi, watu wasiokuwa na makazi
  12. Sinzi Wangwe

    JamiiForums Tanzania TALIBAN imezitaka Urusi na Ukraine kutatua mzozo huo kwa njia za amani

    Watume kikosi cha kulinda amani
  13. Sinzi Wangwe

    JamiiForums Tanzania TRC inakemea unyanyasaji wa wafanyakazi katika kambi za SGR

    Kama Mtu akigoma kutoa mzigo ndio umfanyie hivyo, akili za kichawa.
  14. Sinzi Wangwe

    JamiiForums Tanzania Ni vema Chadema iache kuchukua watu kutoka CCM kwani wanawagharimu

    Nani kawafukuza?
Back
Top Bottom