Recent content by sinza pazuri

  1. sinza pazuri

    Rest in Peace Laisa.

    Laisa
  2. sinza pazuri

    Rest in Peace Laisa.

    Laisa aliyeimbwa na TID amefariki dunia. Mungu amlaze pema mtoto wa kinondoni. Depression is real https://youtu.be/mcQ-1N0FuTo?si=ZGVOs6j6I8h5TM_B
  3. sinza pazuri

    Waislam kubalini Wakristo wamewazidi katika maeneo mengi nyeti. Kama haya kisha mjifunze

    Sisi Gen Z hatuna kitu kinaitwa waislam vs wakiristo. Sisi shabaha yetu ni kuiondoa CCM. Mtaandika sana kimkakati kugawa watu ila mshachelewa.
  4. sinza pazuri

    We Double Dare Them: Do it Again...Tunawathubutisha! Fanyeni Tena...

    Hakuna sehemu serikali imekili kukosea ndio maana tunaenda tena kuwajaribu kuwawajibisha kwa njia ngumu. Hatudanganywi na mtu yoyote tunajua tunachoenda kukifanya na tunajua risk yake.
  5. sinza pazuri

    PostGE2025 Ya Rais Samia ndio ya Nyerere wakati wa kupigania Uhuru kwa waislam

    Uhuru wa Tanganyika umetolewa na waingereza kwa makubaliano na Nyerere. Hakuna aliyepigania uhuru zaidi ya Nyerere.
  6. sinza pazuri

    PostGE2025 Kuna kundi ndani ya Serikali linamuharibia Samia ili achukiwe na wananchi

    Mtamaliza namna zote za kumkingia kifua mama. Ila ukweli ni kwamba kayakanyaga.
  7. sinza pazuri

    Niffa kumbe ni muislamu?

    Gen Z tunaungwanishwa na lengo moja. Kumtoa yule mnyonya damu. Ndio maana hatutambuliki kwa dini zetu na hatuchonganishiki.
  8. sinza pazuri

    PostGE2025 Niffer: 'Mimi niko vizuri' Mungu awabariki sana wote walionipigania

    Anaonekana yupo very strong na she doesn't regret. Salute 🙌🏽
  9. sinza pazuri

    PostGE2025 Wasira: Haki inadaiwa kwa amani na si kuchoma nchi

    Usitufundishe namna ya kudai haki. Tutaidai haki hata kwa kuchoma nchi.
  10. sinza pazuri

    Unamjua Mika Chavala? Kijana ambaye bado anaeshikiliwa kwa kesi ya uhaini

    Sina hakika amekamatwa mazingira yapi. Nimeona videos kwenye insta page yake tarehe 29 Oktoba alikuwa anapost anaenda DSM kukusanya evidence ya kinachotokea.
  11. sinza pazuri

    Unamjua Mika Chavala? Kijana ambaye bado anaeshikiliwa kwa kesi ya uhaini

    Ataenda kuipata access ya kila kitu chake. Inawezekana hauamini ila tarehe 9 Dec tunaenda kurudisha Tanzania yetu ya amani, umoja na upendo.
  12. sinza pazuri

    Unamjua Mika Chavala? Kijana ambaye bado anaeshikiliwa kwa kesi ya uhaini

    Tarehe 10 December atakuwa uraiani atasoma.
Back
Top Bottom