Recent content by sinza pazuri

  1. sinza pazuri

    Vita ya Wasafi na kampuni ya usambazaji wa Muziki 'ZIIKI MEDIA' imefika pabaya, ZIIKI wazuia utoaji wa wimbo wa Lavalava, Diamond awachana

    Angalia biashara zako acha kuumiza kichwa kwenye biashara zisizokuhusu.
  2. sinza pazuri

    Nani anatamani kusikia Darasa na Zuchu kwenye wimbo mmoja?

    Sikiliza muziki mzuri utakuondolea sonona kwenye akili yako. Enjoy mkuu!
  3. sinza pazuri

    Nani anatamani kusikia Darasa na Zuchu kwenye wimbo mmoja?

    https://youtu.be/RCmOJTLi1k0?feature=shared
  4. sinza pazuri

    Nani anatamani kusikia Darasa na Zuchu kwenye wimbo mmoja?

    https://youtu.be/RCmOJTLi1k0?feature=shared Enjoy muziki mzuri 🔥🔥🔥
  5. sinza pazuri

    Maandalizi ya Wiki ya Maandamano yatakayofanyika Duniani kote yakamilika

    Cuf wale ngangari walikuwa wanaharakati wa kweli sio awa mabwashee leo wanampa mama tuzo ya rais bora kesho wanasumbua watu waingie mtaani kutafuta madaraka
  6. sinza pazuri

    Mabantu nyie madogo sio poa

    Awa talentless mabantu kuna wakati walipewa sana hype now wabongo washawapotezea
  7. sinza pazuri

    Rayvany anyakua tuzo Tano za EAEA nchini Kenya

    Basi hapo atavaa koti kuuubwa eti anajibrand kuwa international mnyakyusa yule 😂😂😂
  8. sinza pazuri

    Dullah Planet aliyeacha kazi EATV sasa rasmi ahamia CROWN FM ya Ali Kiba

    Yule demu shape ya funguo wa planet bongo nae anaenda hapo crown kupoteza wakati
  9. sinza pazuri

    Ali Kiba hapa kwa Dulla umefeli kabla ujaanza

    Tulia wewe dogo acha mihemko
  10. sinza pazuri

    Inonga anaondoka Simba mwishoni wa msimu huu 2024

    Beki wa Simba Enoch Inonga anatarajia kuondoka Simba baada ya msimu kumalizika. Japo Inonga ana mkataba mpaka 2025 ila ameomba kuondoka na ameshaanza mazungumzo na club yake wamuachie. Pia beki wa kati Che Malone nae anataka kuondoka sababu hafurahii kuwepo Simba. Za ndani zinasema Simba...
  11. sinza pazuri

    Pacome ameanza mazoezi Yanga na atajumuishwa kwenye msafara wa Mwanza

    Habari nilizonazo mpaka sasa afya ya Pacome imeimarika na atasafiri na kikosi kuelekea Mwanza. Lolote linaweza kutokea haswa mechi ya derby. Yao Kwasi bado kuna uwezekano akaikosa mechi tatu zinazokuja.
  12. sinza pazuri

    Hii Kozi Ya Multimedia and Film Production, Zipi Fursa zake?

    Wewe kigagula tupo hapa tuliojaliwa akili nyingi sana tunamsaidia aelewe. Haendi DIT wala popote na roho yako mbaya
  13. sinza pazuri

    Hii Kozi Ya Multimedia and Film Production, Zipi Fursa zake?

    Awa wajinga walio reply hapa hawaelewi kuhusu multimedia. Hiyo ni course yenye mchanganyiko wa visual, graphics na makolokolo yote ya media. Atajifunza kutengeneza videos, kudesign graphics, basics za softwares mbalimbali. Ajira au kujiajiri ni video producer, kutengeneza mabango, posters...
  14. sinza pazuri

    Mtu unajirekodi chumbani ili iweje? Nina uhakika Aslay na Lukamba wameteswa sana kisaikolojia kusubiri kuziona dhambi zao zilizovuja

    Kwa aslay itamsumbua sana atakunywa sana balimi. Kwa lukamba ni habari njema anafurahi sana uko alipo.
Back
Top Bottom