Cuf wale ngangari walikuwa wanaharakati wa kweli sio awa mabwashee leo wanampa mama tuzo ya rais bora kesho wanasumbua watu waingie mtaani kutafuta madaraka
Beki wa Simba Enoch Inonga anatarajia kuondoka Simba baada ya msimu kumalizika.
Japo Inonga ana mkataba mpaka 2025 ila ameomba kuondoka na ameshaanza mazungumzo na club yake wamuachie.
Pia beki wa kati Che Malone nae anataka kuondoka sababu hafurahii kuwepo Simba.
Za ndani zinasema Simba...
Habari nilizonazo mpaka sasa afya ya Pacome imeimarika na atasafiri na kikosi kuelekea Mwanza. Lolote linaweza kutokea haswa mechi ya derby.
Yao Kwasi bado kuna uwezekano akaikosa mechi tatu zinazokuja.
Awa wajinga walio reply hapa hawaelewi kuhusu multimedia.
Hiyo ni course yenye mchanganyiko wa visual, graphics na makolokolo yote ya media.
Atajifunza kutengeneza videos, kudesign graphics, basics za softwares mbalimbali.
Ajira au kujiajiri ni video producer, kutengeneza mabango, posters...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.