Recent content by sinza pazuri

  1. sinza pazuri

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Dodoma mjini Mtaa wa Chinyoya karibu na Mtaa wa Uzunguni, kina sqm 800 na kina Hati, Maji na umeme vipo vyote

    Sinza unapata kiwanja mpaka mil 80. Dodoma kuna ujinga wa ku overprice viwanja.
  2. sinza pazuri

    JamiiForums Tanzania Lema, lengo lako kuhusu Heche ni nini hasa?

    Najua umetaamaki kuona Lema ndio mastermind wa huu mchezo mchafu, lakini ndio wanasiasa haswa wa kaskazini walivyo don't ever trust them.
  3. sinza pazuri

    JamiiForums Tanzania Lema, lengo lako kuhusu Heche ni nini hasa?

    Sawa, basi Heche akae pembeni kupisha uchunguzi. Mkutano mkuu uteue mwenyekiti wa muda.
  4. sinza pazuri

    JamiiForums Tanzania Lema, lengo lako kuhusu Heche ni nini hasa?

    Yes na maridhiano yataongozwa na Lissu na msaidizi wake Heche. Hakuna alternative nyingine.
  5. sinza pazuri

    JamiiForums Tanzania Zuchu, fanya muziki, acha kuwa 'Motivation Speaker'

    KMLMMK
  6. sinza pazuri

    JamiiForums Tanzania Lema, lengo lako kuhusu Heche ni nini hasa?

    Lema anampiga vita Heche. Anafanya kazi ya CCM.
  7. sinza pazuri

    JamiiForums Tanzania Lema, lengo lako kuhusu Heche ni nini hasa?

    Kumtendea haki Lema ni kukubaliana nae kuwa Heche haaminiki kukiongoza chama wakati huu Lissu akiwa lupango si ndio? Alafu mumuweke nani?
  8. sinza pazuri

    JamiiForums Tanzania Lema, lengo lako kuhusu Heche ni nini hasa?

    Kwa hiyo Heche akae pembeni kupisha uchunguzi ili mumuweke nani awe mwenyekiti? Hivi mnajiona ninyi ni smart sana eeh?
  9. sinza pazuri

    JamiiForums Tanzania Zuchu, fanya muziki, acha kuwa 'Motivation Speaker'

    Matundu yako ya mwili yaki miss kuchokonolewq uwa unaropoka sana
  10. sinza pazuri

    JamiiForums Tanzania Zuchu, fanya muziki, acha kuwa 'Motivation Speaker'

    Kmmk
  11. sinza pazuri

    JamiiForums Tanzania Lema, lengo lako kuhusu Heche ni nini hasa?

    Kwenye kikao unasimama na kuhoji usalama wa fedha za chama kisha unamnyooshea kidole moja kwa moja Heche kuwa anapiga pesa za chama. Kwa kifupi ni kwamba huna imani na Heche. Baadae unapata uungwaji mkono kutoka kwa wenzio, yani kama script iliyokuwa imeandaliwa tayari. Okay sawa, uhenda nia...
  12. sinza pazuri

    JamiiForums Tanzania Mbwana Samatta ndio mchezaji bora wa soka wa muda wote Tanzania, GOAT

    Asante mbwana Samatta the GOAT. Tanzania itakukumbuka daima, mchango wako kwenye soka letu hauna wa kufanisha.
  13. sinza pazuri

    JamiiForums Tanzania Mbwana Samatta atangaza Kustaafu Timu Ya Taifa ya Tanzania "Taifa Stars"

    Mbwana Samatta, greatest of all time. Hajawai tokea kama yeye kwenye ardhi ya Tanzania. Roho mbaya za waswahili zimefanya asipewe heshima anayopaswa kupewa.
  14. sinza pazuri

    JamiiForums Tanzania Zuchu, fanya muziki, acha kuwa 'Motivation Speaker'

    Zuchu, tulikufahamu kupitia muziki wako, si kupitia masterclass. Kwa muda sasa umekuwa kimya upande wa hits. Badala ya kuja na nyimbo zinazotikisa chati, umehamia kwenye semina. Binafsi, sijaona duniani msanii mkubwa anayekuwa kwenye peak ya kazi yake halafu akaanza kuuza maneno kama chanzo...
Back
Top Bottom