Kuna kitu kinachonifanya niitazame sana tarehe 4 September 2026 kwenye kujiuzulu kwa Dr Emmanuel Nchimbi.
Sidhani kama tarehe hiyo imechaguliwa kwa bahati mbaya. Nchimbi ameamua kuondoka rasmi siku ambayo inakaribia kutimiza mwaka mmoja tangu alipokuwa Makamu wa Rais.
Cha muhimu zaidi, mpaka...
Kwenye kikao unasimama na kuhoji usalama wa fedha za chama kisha unamnyooshea kidole moja kwa moja Heche kuwa anapiga pesa za chama.
Kwa kifupi ni kwamba huna imani na Heche. Baadae unapata uungwaji mkono kutoka kwa wenzio, yani kama script iliyokuwa imeandaliwa tayari.
Okay sawa, uhenda nia...
Mbwana Samatta, greatest of all time.
Hajawai tokea kama yeye kwenye ardhi ya Tanzania.
Roho mbaya za waswahili zimefanya asipewe heshima anayopaswa kupewa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.