Kwenye kikao unasimama na kuhoji usalama wa fedha za chama kisha unamnyooshea kidole moja kwa moja Heche kuwa anapiga pesa za chama.
Kwa kifupi ni kwamba huna imani na Heche. Baadae unapata uungwaji mkono kutoka kwa wenzio, yani kama script iliyokuwa imeandaliwa tayari.
Okay sawa, uhenda nia...
Mbwana Samatta, greatest of all time.
Hajawai tokea kama yeye kwenye ardhi ya Tanzania.
Roho mbaya za waswahili zimefanya asipewe heshima anayopaswa kupewa.
Zuchu, tulikufahamu kupitia muziki wako, si kupitia masterclass.
Kwa muda sasa umekuwa kimya upande wa hits. Badala ya kuja na nyimbo zinazotikisa chati, umehamia kwenye semina.
Binafsi, sijaona duniani msanii mkubwa anayekuwa kwenye peak ya kazi yake halafu akaanza kuuza maneno kama chanzo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.