Recent content by sintalikwetu

  1. S

    Ni kosa kubwa kwa Ukawa kushabikia mashaka ya Kagame juu ya demokrasia ya Tanzania

    Huu ndio ujinga wa ukiwa. Wanakurupuka mno, badala ya kuchangia anakurupuka na Msemo wa zamaani ooo sindano imeingia, ndio yale majinga eti buku saba. Ukawa na fisadi mkuu lowasa ni kama Tanga na boti yaana wafu wanakokotana. Kura yangu ni kwa Magufuri.
  2. S

    Dr. Eve Hawa Sinare atangaza Kuhama CCM

    Mafisadi yanayotaka kuham yahame mapema ndio unafuu kwa ccm. Yanapobaki yanawachanganya wasafi waliopo. Fuata fisadi mkafe pamoja 25. Kura yangu nikwa magufuri.
  3. S

    TB Joshua akutana na Mh. Magufuli na Familia yake

    Man of God do not support corrupt people like Lowasa. I hope you are corrupt too watch out. Lowasa the corrupt will never ever touch the state house in his remaining life time. Save your fellow Tanzanians vote for Dr Magufuri.
  4. S

    Mama Magufuli uko wapi ujibu mapigo?

    Huyu mama Fisadi ameishachanganyikiwa mbowe ameisha mfanya mtaji kachukua pesa zao lkn sio mbaya maana walituibia wamerudisha. Hata akaongelee bbc ataishia kuiona ikulu ileeeee. Ufisadi walioufanya mbona hauzungumziii, mshahara wa dhambi siku zote ni mauti. Tunasubiri 25 tumpeleke magufuri...
  5. S

    CCM itashinda kihalali bila goli la mkono

    Kaa kimya ww fisadi mwenzio anajiharishia kule ww unaharisha hapa. Tunataka rais wa nchi sio katuni au mfano wa raisi. Maabilioni alitotumia kwa kampeni yametosha maana amerudisha kwa wananchi pesa alizoiba. Magufuri ndio chaguo letu huyo atakuwa rais wa chadema na sio wa tanzania. Fisadi wenu...
  6. S

    Kosa la kampeni za UKAWA

    Yaani bado mpo na jambazi lenu la richmond mnalitembeza mikoani ili wananchi walijue. Mngejua tumeishaamua mafisadi tunayasubiri tunayasubiri 25 tuyachinjeee. Mamtu yameibaa leo yanataka urais. Fisadi papa hawezi kupewa nchi hata dawa tutampiga vita fisadi mpaka kaburini. Kura yangu ni kwa rais...
  7. S

    Kosa la kampeni za UKAWA

    Hizi kauli mwisho 25 bado siku 5 tu mtaharisha kama mgombea wenu. Kura yangu ni kwa Magufuri.
  8. S

    Paul Kagame umeongea ukweli hataki unafiki!

    Kagame dictator yule anajifananisha na tanzania. Wapinzani hawana sauti rwanda anawaua kila siku. wakati tanzania wapinzani wapo huru mpaka wanaua wapinzani wenzao, eg chacha wangwe na mtikila. Sema mtu akila viazi na juice ya azam anaongea chochote. KURA YANGU NI KWA MAGUFURI.
  9. S

    Kwanini Edward Lowassa hafai kuwa Rais wa Tanzania 2015

    Mbona mnalia lia kuibiwa kura. Ccm itashinda japo kuna kelele nyiingi za vyura.
  10. S

    Kinga ni bora kuliko Tiba

    Labda angesema sasa hospitali zimetosha maana zimeenea, na mpango wake ni kuweka wauguzi kushauri watu wasiambukizwe zaidi. Sasa kusipokuwapo hosp watu watatibiwaje au magonjwa nayo anayafuta. Huyu ni kichaa tumemjua zamani yeye shida yake ni ikulu. Tunampa urais Magufuli sio huyu mfano wa...
  11. S

    Rushwa,Koo, vitisho zagubika uchaguzi tarime vijijini

    Kwa nini heche naye asitoe rushwa mbona lowasa yeye anatoa kwa mabilioni au yeye ameishiwa. Heche ni kichwa maji yule kushinda ni ngumu labda aingie msituni tu.
  12. S

    Kutoka viwanja vya shule ya msingi Ruanda Nzovwe Mbeya, Mkutano wa Edward Lowassa

    Mihemko kibao. Kujipa moyo siku zote ni kuzuri japo huwa hakubadili matokeo. Fisadi alilaaniwa tangu Yesu yupo duniani na ni mafisadi walimuuza kwa vipande thelathini. Hatuwezi kumuacha muadilifu na kumchukua mpiga dili mkuu. Kura zetu kwa John Pombe Magufuri.
  13. S

    Hali ya Mabere Marando

    Kama aliwaahidi atawatangazia matokeo maana yake labda atarudi kabla ya matokeo. Lakini kunyume chake labda ameona upepo haupo upande wake bora apige kimya tu. Kura yangu ni kwa Magufuri.
  14. S

    Hongereni HELSB 2015/16

    Ridhika mbona watu mnakuwa na tamaa na kujibaraguza. Lowasa ww ndio umemjua leo acha ushamba pori. Kuna watu jimboni kwake wanahalimbaya wala msaada hawana na lowasa amejilimbikizia mabilioni ya kampeni. Shukuru kwa kila jambo kuna nchi hata huo mkopo hawana. Danganyikeni na lowasa. Kura yangu...
  15. S

    Salute na heshima kwa lowassa...

    Hofu tupu, yaani mwaka huu mpaka mnye, MTAJI WENU FISADI JAMBAZI LA UCHUMI. Maneno meengi. Tulieni mpira ndio kwanza upo katikati mtanyooka tu. Kura yangu ni kwa Magufuri.
Back
Top Bottom