Mama Magufuli uko wapi ujibu mapigo?

Mama Magufuli uko wapi ujibu mapigo?

Wewe ni mke wa mgombea wetu wa Urais,Dr. Magufuli. Unapaswa kuwa sambamba na Dr. Magufuli kama afanyavyo Regina Lowassa. Regina amezunguka nchini kupiga kampeni;anahojiwa na vyombo vya habari na kuandikwa.

Regina Lowassa anamwombea Lowassa na wagombea wa UKAWA kura. Anatamba na kupamba. U wapi Janeth Magufuli nawe ujibu mapigo? Jitokeze tafadhali hata kwa siku chache zilizobaki. Regina aweze ana nini na wewe ushindwe una nini?

Usikubali kushindwa na Regina Lowassa. Jibu mapigo na madoido!

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam

Hamna chochote mmeshamtia mama Regina Lowassa dole la tako mnamtafuta Janeth Magufuli nae mumtie dole la tako kama shida yako ni kiboga mtafute Regina ndio kazi yake akilewa tu kwisha habari yake unajilia mzigo kiulaini kabisa.
 
Hamna chochote mmeshamtia mama Regina Lowassa dole la tako mnamtafuta Janeth Magufuli nae mumtie dole la tako kama shida yako ni kiboga mtafute Regina ndio kazi yake akilewa tu kwisha habari yake unajilia mzigo kiulaini kabisa.
Mmmh!! Sikushangai, kwani hata wabunge na mawaziri wa CCM akili zao ni kama zako.
 
Unaufahaamu huu wimbo, bado siku ngapii tarataraaaa, tupigeee kuraaaa tarataraaa.magufuliii wetuuu tarataraaaa.
 
Jamani yule mama sio golikipa ana ajira yake, yuko anatumikia taifa.

Huyo wa kwenu kiguu na njia hadi kwenye vijiwe vya masela atakuja shikwa makalio bure.

Magufuri keshawaambia yeye ni kazi tu . Mke wake ni mwalimu, na Tingatinga kaishasema hakuna cha u first lady ataendelea na Ajira yake ya kufundisha ambapo Baba yeye ni site tu , sio kwenda kulala lala Ikulu
 
Jamani yule mama sio golikipa ana ajira yake, yuko anatumikia taifa.

Huyo wa kwenu kiguu na njia hadi kwenye vijiwe vya masela atakuja shikwa makalio bure.

Ninaposoma comment kama hizi huongeza maombi ili mwaka huu ccm itoke madarakani tupumzike Na haya matusi na manyanyaso.
 
Wewe ni mke wa mgombea wetu wa Urais,Dr. Magufuli. Unapaswa kuwa sambamba na Dr. Magufuli kama afanyavyo Regina Lowassa. Regina amezunguka nchini kupiga kampeni;anahojiwa na vyombo vya habari na kuandikwa.

Regina Lowassa anamwombea Lowassa na wagombea wa UKAWA kura. Anatamba na kupamba. U wapi Janeth Magufuli nawe ujibu mapigo? Jitokeze tafadhali hata kwa siku chache zilizobaki. Regina aweze ana nini na wewe ushindwe una nini?

Usikubali kushindwa na Regina Lowassa. Jibu mapigo na madoido!

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam

Huyu mama Fisadi ameishachanganyikiwa mbowe ameisha mfanya mtaji kachukua pesa zao lkn sio mbaya maana walituibia wamerudisha. Hata akaongelee bbc ataishia kuiona ikulu ileeeee. Ufisadi walioufanya mbona hauzungumziii, mshahara wa dhambi siku zote ni mauti. Tunasubiri 25 tumpeleke magufuri ikulu aanze na hao hao mafisadi. Tunamshukuru kwa kushiriki asikate tamaa akitoka hela 2030. Kura yangu ni kwa magufuri.
 
Mke wa mgombea wa Sisiem Anajua Matokea ya Uchaguzi, je ya Nini Kujisumbua Wakati Kila Kitu Kipo Wazi Kuwa Lowassa Ndie Rais wa JMT.
 
Back
Top Bottom