eti mkuu wanang'an'gana tuanze na manjonjo ya lunch na maviwanja haa
sasa tatizo utakuta anapokea ofa za waatu kibao je hao wote atakuwa na malengo nao au ndio kuchunwa?
kwani nikija straight nikamwambia hitaji langu kuna shida gani mpk nianze na kugharamia wakati bdo mtu anakuwa hajawa wako...
dah aise yani mpk nigharamike hivyo lol hlf ht sijakuambia kitu mhhhhh
halafu na ninyi mlivyo unaanza sema nimepata jinga langu nalichuna
kwani kuna shida gani nikununulie kiwanja tukiwa tayari tunafahamu sisi ni wapenzi?
tatizo sio ukarimu ila lazima kuwe na reward ya kuumotivate
nikishajua...
aise
aisee ni ndefu mno na inategemea unaweza ukawekeza kwa mtu ambaye hakufeel akatumia ujanja kukuvuna
ni heri niseme mapema ukikataa naulizia wiki moja km hakuna response nasepa
lol unaanza kumtoa mtu lunch tatu nne tano hujasema chochote asipokuelewa utamlaumu nani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.