Recent content by sinnerman

  1. S

    Tetesi: Kuzuiwa kufanya Siasa kwa miaka 6, kisa Urais

    Huyu bwana ana dalili zilizo dhahiri za ugonjwa wa akili wa narcissistic personality disorder, serial killers wengi wana dalili hizohizo...kesho akianza kucharanga watu mapanga sote tutaacha kumcheka.
  2. S

    Msukule aliyesalimika baada ya ugomvi wa Kaka na Dada!

    Ndio Kabisa. Hapo hakuna cha msukule wala kanisa wala nn. Tatizo letu ni kuwa habari hainogi kama hatujaweka mambo ya kishirikina ndani yake.
  3. S

    Msukule aliyesalimika baada ya ugomvi wa Kaka na Dada!

    Boy trapped in a wall for three days while people ignored him crying
  4. S

    NHIF wafunguka bei mpya za matibabu

    Haha.....labda kwa mganga wa kienyeji!
  5. S

    Hospitali Binafsi hatarini: NHIF washusha gharama za matibabu kwa zaidi ya asilimia 60

    Wewe Eti eeee...ni kweli...tiba ulaya hasa hospitali za private ni karibu na bure kabisa....mi mwenyewe hua naendaga kupima malaria kule...
  6. S

    Sisi wataalam wa Tanzania tumesikitishwa na kauli yako Rais Magufuli

    Mimi naunga mkono hoja ya wataalam kutoka rwanda kuja kututatulia matatizo yetu....ila naomba haya mambo yasiishie hapo tuu. Kuna umuhimu pia kuangalia uwezekano wa kuleta waalimu kutoka kenya, madaktari kutoka india, askari kutoka uingereza, majeshi kutoka israel, maengineer kutoka ujerumani...
  7. S

    Wavuta shisha na sigara na mashoga ni Watanzania pia, a message to Makonda

    Heheh....alafu na ww mwenyewe ukaweka picha ya shoga kwenye avatar yako...
  8. S

    Saudia cautions against maids from Tanzania

    Dah....hili tangazo bora lingetafsiriwa alafu ndio likabandikwa...mwafrika kwa tamaa zake mwenyewe anajipeleka kwa muarabu kutafuta ajira...akifika huko ananyanyaswa kwasababu nchi yake ...ambayo inaendeshwa na muafrika mwenziwe haina ubavu wa kumtetea....leo hii serikali ya kiarabu inaingilia...
  9. S

    Gari ipi nzuri kati ya Harrier240G na Klugger

    Tatizo sio gari ama mm mkuu. Tatizo uuzaji. Kila mtu ndio ameshaamua kuwa gari ni mbovu na haina spea basi. Utachanganyikiwa kumpata mteja.
  10. S

    Gari ipi nzuri kati ya Harrier240G na Klugger

    Mkuu, sijui kuhusu crv model mpya bila ya shaka maana nazo ni gari nzuri sana. Mi nilikuwa na model ya zamani ya 2000. Nilitamani sana kununua model mpya ila niliogopa baadae resale. Maana watu wana midomo mibaya!!!
  11. S

    Gari ipi nzuri kati ya Harrier240G na Klugger

    Nimenunua hivi karibuni ya 2006. Nimefurahia sana comfort, pamoja na build quality. Bila ya shaka zina nguvu ya kutosheleza barabarani kiasi cha kwamba overtaking haikupi shida kabisa. Ila cha kushangaza zaidi ni kuwa matumizi ya mafuta ni wastani. Hayatofautiani na gari zenye engine za lita 2...
  12. S

    Gari ipi nzuri kati ya Harrier240G na Klugger

    Lkn uzuri kabla hujaamua zigoogle zote mbili. Utapata info nzuri ya kutosheleza. Mimi nilifanya hivyo na saivi nafurahia harrier yangu...
  13. S

    Gari ipi nzuri kati ya Harrier240G na Klugger

    Hakuna tofauti baina harrier na kluger isipokuwa body. Engine na chassis ndio hizohizo. Lkn kama unajali muonekano basi bora harrier.
Back
Top Bottom