Hakuna sheria kama hiyo, ilifutwa miaka mingi sana, maana ilikuwa inamkandamiza mwenye nyumba. Kiufupi Tanzania hakuna sheria ya wapangaji na wenyenyumba, wanaongozwa na mikataba yao binafsi
.
Kuna makala moja nilisoma kuwa, wakati wanyaturu wanatoka huko kwao Ethiopia, Walipita na kuweka makao ktk hayo maeneo wanayoishi wanyatunzu wasasa. Hivyo basi kulikuwa na intermarriage na baadhi ya wasukuma. Kwahiyo mnyantunzu ni mchanganyiko wa mnyaturu na msukuma
Hiyo makala ilikuwa na...
Hivi wema ni wa singida au mama yake ndo wasingida, wema baba yake ni mnyamwezi. Mbona huwa mnakataa mkiambiwa Mh. Nape ni wasingida? Wakati mama yake Nape naye ni wasingida
Mimi niliwablock watu kibao, nilikuwa nikipokea simu ya mtu, baada ya Salam , swali linalofata ni " bado hujapata kazi". Sasa hivi naishi kwa amani, Nina marafiki wapya ambao hata hawajui Kama nilipitaga chuo.
Nami nichangie kidogo, dagaa wa Mwanza wakivuliwa hukaushwa kwa kuanikwa chini, kwenye mchanga, hawa huwa nikwaajili ya kusafirishwa nje ya mkoa.
Wanaotumia wenyeji ndani ya Mwanza huanikwa juu ya miamba, Hawa huwa hawana mchanga hata kidogo, pia huwa weupe.
Dagaa kutoka Bukoba huanikwa juu...
Mimi nani? Mtoto wa Dandu, natokea wapi? Watokea Mwanza×2. Mtoto wa Dandu bado na tesa, kufika Mombasa napendwa Kama pesa. Moja ya wimbo ulio tamba sana, hasa RFA.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.