Hamza alijikuta akishangaa mara baada ya kumwangalia Regina , kwa mwonekano wa Regina , ilikuwa ni dhahiri alikuwa akimfahamu huyo mwanaume , lakini mtu huyo hakuonekana kuwa mdogo. Kulinganisha na Regina kulikuwa na utofauti ambao ni zaidi ya mbingu na ardhi , na Hamza alijiuliza inakuwaje...
SEHEMU YA 240
Ndani ya uwanja wa wa ndege wa kimataifa wa Nyerere , jijini Dar es Saalam, alionekana Dastani akiwa ndani ya gari kando kabisa na magari ya Abiria maarufu kama Taksi , Bolt au Uber.
Kanali gari ambalo alikuwa amesimamisha lilikuwa pia na Banner , ilionyesha ni gari...
SEHEMU YA 238
Kuna haja ya kumuita Shemeji
Hamza mara baada ya Regina kukubali Irene kujifunza nishati za mbingu na ardhi , aliweza kuelewa alichokuwa akifikiria , kwa Regina pia aliijihisi alikuwa mtoto wa nje ya ndoa vilevile , hivyo asingeweza kumchukulia Irene kama wa nje, ama kujiona...
Katika kina cha historia iliyofichwa, kuna ulimwengu usioandikwa katika vitabu vya wanadamu—ulimwengu unaoitwa Agartha, ufalme wa chini ya ardhi unaotawaliwa na sheria za kale zisizovunjika.
Hamza, kijana aliyejikuta akivutwa na mlango wa siri uliofunguka kwa bahati mbaya, anaingia katika eneo...
Hamza anapewa mtihani maalum wa kuingia kwenye Mnara wa Nafsi za Kale ili kupambana na wapiganaji wa nafsi hizo. Wazee wa Umoja wa Underworld Alliance wanaamini kwamba akiingia ndani ya mnara huo, hatatoka tena.
Akiwa anasikiliza ukubwa wa nguvu zinazomkabili kutoka kwa wazee wa nafsi za kale...
Hii simulizi kwa wanaotaka kuendelea nayo, tuko mbali sana sehemu ya 600 na zaidi, .. tuko mbali Hamza tayari ana mtoto wa kike na Regina... kama unataka kusoma kwa watsapp au fasihinet nicheki 0687151346
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.