Recent content by singanojr

  1. singanojr

    Nataka kuuza nyumba, viwanja, gari na vitu vyote vya ndani nirudi bara kuanza upya kutoka Zanzibar

    Ni kweli kabisa na baadhi ya maeneo ya Bagamoyo
  2. singanojr

    Selfika na JF: Snap it. Show it

    Damn..
  3. singanojr

    Nataka kuuza nyumba, viwanja, gari na vitu vyote vya ndani nirudi bara kuanza upya kutoka Zanzibar

    Komaa huko huko mkuu Usirudi Bongo, una Asset tayari njia rahisi ya kujitengenezea Fursa
  4. singanojr

    Nataka kuuza nyumba, viwanja, gari na vitu vyote vya ndani nirudi bara kuanza upya kutoka Zanzibar

    Hio sheria ni kweli ipo.ila haipo.enforced ndio maana wapo wabongo wengi wanamiliki Ardhi Zanzibar , nina wadau wangu Tanga nimekuwa nao wanaishi Zanzibar na wamejenga kabisa.
  5. singanojr

    Watumiaji wa iPhone acheni ushamba na ulimbukeni

    Shida inaanzia kwa wanaume watumiaji , wengi kuna tatizo mahali.. Mwaka jana nilinunua I phone ya macho matatu aisee simu haikunipa amani kabisa japo nzuri mno ila kila mtu ananiangalia ,baada ya miezi miwili nikaiuza , nilichogundua preference za mtu zinaendana na tabia kwenye nguo mpaka kwenye...
  6. singanojr

    Tetesi: Hiki kinachofanyika hapa kwenye ligi kuu ya bongo ni dhahiri Yanga atakua bingwa kila msimu!

    Tukutane tarehe 20 bosi awanunue na nyie , maneno mengi ya nini.
  7. singanojr

    FT | Ihefu SC 1 - 1 Simba SC | NBC Premier League | Liti stadium | Aprili 13, 2024

    Simba ikitaka kuifunga Yanga ishinde zaidi ya goli tatu ndani ya Dakika 20 za mwanzo na kisha ipaki bus tofauti na hapo ni kichapo mwanzo mwisho au itafute draw kwa kupaki basi mwanzo mwisho. Mpaka sasa kisaikolojia Simba tushamfunga [emoji23]
  8. singanojr

    Simulizi ya kijasusi: Shetani Rudisha akili zetu na mke wangu

    SHETANI RUDISHA AKILI ZETU. MTUNZI:SINGANO JR SEHEMU YA 25. “Ni rahisi sana kitabu au tuambie wapi alipo Tembo wa Trishaza na ndio tutamuachia huyu mwanamke haraka iwezekanavyo”Aliongea Mendoza “Mabadilishano yatafanyikia wapi?”Aliuliza Hamza , hakutaka kupoteza muda. “Kama...
  9. singanojr

    Simulizi ya kijasusi: Shetani Rudisha akili zetu na mke wangu

    SHETANI RUDISHA AKILI ZETU MTUNZI:SINGANOJR SEHEMU YA 23. Yonesi aliishia kuinua kichwa na kumwangalia Hamza kwa sekunde kadhaa na kisha akampotezea na kuendelea na chakula chake , kitendo kile kiliwashangaza wengi na kuona au Hamza ameshamuweza Yonesi. Muda huo Hamza aliweza kuona...
  10. singanojr

    Breakup ya kwanza ilikuaje?

    Wanaume huwa tunaumia mara moja tu na hii ni kutokana na kwamba tunachelewa sana ku move on tofauti na wanawake baada ya hapo sisi ndio tunaumiza
  11. singanojr

    Tuongee ukweli: Soko la pesa la Tanzania (UTT, Hisa N.k) haliwezi kukufanya ukawa tajiri kwa mtaji wako mdogo

    Doller 200 kidogo sana kwenye Forex ,.mwaka 2015 wakati naanza baada ya kupata mchongo huo kwa Mcanada niliteketeza dollar 2500 ya Urithi[emoji23][emoji23]
  12. singanojr

    Simulizi ya kijasusi - Nilimdhania kahaba kumbe bikra

    Ni Amina sio Mage
  13. singanojr

    Sijawahi kusikia Sifa Mbaya kwa Wanawake wenye Majina haya yafuatayo hakika Mwenyezi Mungu azidi Kuwabariki Maishani

    Grace sio wacha Mungu wanajifanyaga wacha Mungu mafaili yao ninayo[emoji23]
Back
Top Bottom