Recent content by singanojr

  1. singanojr

    Simulizi ya kijasusi: Shetani Rudisha akili zetu na mke wangu

    Naendelea na mwendelezo ..Kama inataka kuisoma bure hii simulizi nicheki watsapp 0687151346
  2. singanojr

    Msaada wa tiba ya tatizo la kushindwa kubana mkojo

    Jamaa itakuwa kaingiza kidole kwenye tundu la mkojo akiitafuta G portal.Ndio keshamgeuza mtu mfereji hivyo.
  3. singanojr

    Msaada wa tiba ya tatizo la kushindwa kubana mkojo

    umejuaje ? Hajataja hata jinsia ..Urine incontinenc.. ipo kwa gender zote
  4. singanojr

    Msaada wa tiba ya tatizo la kushindwa kubana mkojo

    umejuaje ? Hajataja hata jinsia ..Urine incontinenc.. ipo kwa gender zote
  5. singanojr

    Simulizi ya kijasusi: Shetani Rudisha akili zetu na mke wangu

    Nani anataka kusoma hii simulizi bure...
  6. singanojr

    Mke wangu anatelekeza chumba chake na kwenda chumba cha mtoto

    Mzee una experience za kutosha sana .
  7. singanojr

    Mke wangu anatelekeza chumba chake na kwenda chumba cha mtoto

    Kama huyo mwanamke alikuwa siriasi sans na kuolewa asingekubali kusogezwa waishi pamoja . Kama ameshakubali na hakika akubali kuliwa. Kuhama chumba ni kukiuka makubaliano ya lengo la soges tuishi . MASEMA HIVI FUKUZA HIO TUMBILI
  8. singanojr

    Penzi la mdada trafiki lilivyonitesa

    Alete code wana tuzame
  9. singanojr

    Simulizi ya kijasusi: Shetani Rudisha akili zetu na mke wangu

    Nipo dada mkubwa ! Kheri na wewe
  10. singanojr

    Kodi ya Watengeneza Maudhui Mtandaoni: Ubunifu unakufa taratibu

    Na mambo yanazidi kuwa magumu zaidi
  11. singanojr

    Tujifunze Kutoka Libya

    Akikujibu nitag
  12. singanojr

    Itachukua muda kiasi gani binadamu kufikia ustaarabu wa asilimia mia moja!

    Ustaarabu asilimia mia moja ndio ukoje mkuu?
  13. singanojr

    Tujihadhari - Propaganda, Weapon of Mass Persuasion

    Looh! Jamaa nilivyoona ID yake ni logikos nikajua kaandika nondo ...nimeishia kupoteza dakika moja ya uhai wangu.
  14. singanojr

    Usiku huu Yericko Nyerere hatapata usingizi

    mwenyewe jamaa wa Zambia nilimpigia kura
  15. singanojr

    PostGE2025 Nilichokishuhudia kwenye maandamano: Serikali ya Tanzania imeshindwa vita

    Huyo jamaa ni msomi haswa . Mabandiko yake hayana mihemko
Back
Top Bottom