Katika kina cha historia iliyofichwa, kuna ulimwengu usioandikwa katika vitabu vya wanadamu—ulimwengu unaoitwa Agartha, ufalme wa chini ya ardhi unaotawaliwa na sheria za kale zisizovunjika.
Hamza, kijana aliyejikuta akivutwa na mlango wa siri uliofunguka kwa bahati mbaya, anaingia katika eneo...
Hamza anapewa mtihani maalum wa kuingia kwenye Mnara wa Nafsi za Kale ili kupambana na wapiganaji wa nafsi hizo. Wazee wa Umoja wa Underworld Alliance wanaamini kwamba akiingia ndani ya mnara huo, hatatoka tena.
Akiwa anasikiliza ukubwa wa nguvu zinazomkabili kutoka kwa wazee wa nafsi za kale...
Hii simulizi kwa wanaotaka kuendelea nayo, tuko mbali sana sehemu ya 600 na zaidi, .. tuko mbali Hamza tayari ana mtoto wa kike na Regina... kama unataka kusoma kwa watsapp au fasihinet nicheki 0687151346
Tutaendelea kupost mwendelezo hapa mdogo mdogo mkuu, usiwe na wasiwasi kabisa, tatizo kuna watu humu nikiweka mwendelezo wanachukua na kwenda kuuza kwenye magroup na channel zao......
“Sitaki kulisikia”
Hamza hakujali bwana huyo anataka kuongea nini , yeye alikuwa akifurahia hisia nzuri za kupigana hivyo hakutaka pambano lisitishwe. Pia hakuwa na uhakika kama anaweza kumuua ila alihisi itakuwa vizuri kama akimpa kibano cha kueleweka.
Mathias Huge uso uligeuka wa...
Mpango wa Subira.
Wakati Hamza akionyesha hali ya usiriasi, upande wa Mathias Huge hakuwa na nia ya kushindana na Hamza, na aliishia tu kuonyesha muonekano wa kawaida.
“Nadhani, Bro, umepanga kuwalinda Regina na Irene kisawasawa?”
“Kama sitaki kuwalinda, unataka nikupatie mke wangu na...
235
Ingawa alijua alikuwa amemkosea Bi Mirum, lakini kitendo cha kufukuzwwa alijenga kinyongo.
Kwa Bibi yake Irene kutojihusisha tena na familia ya Regina ilikuwa ndio tamanio lake kubwa.
Ndio hivyo tu mambo yadunia hayawezi kuamuliwa na matumaini pekee, kwasababu kivuli cha asili yake...
Worldless Book
“Nini kilichompata huyo msichana?”Lilikuwa swali la Hamza kwenda kwa Rhoda.
Mapigo yake ya moyo yalikuwa yakienda spidi mno kwa kuhisi jambo kubwa limempata Irene.
“Amechomwa mwilini na tawi la mti. Sasa hivi Bazo amemchukua kumuwahisha Muhasi , hospitali ya taifa”Aliongea...
Regina aliekuwa na hali ya wasiwasi , dakika kadhaa zilizopita , aijikuta akikunja ngumi kwa hasira mara baada ya kuona jambo lile. Macho yake yalikuwa yamejaa ukauzu wakati akishuka kutoka kwenye gari.
Hamza alikubwa na hofu na haraka sana alitoa mkono wake kutoka kwa Irene na kujiweka...
232
Msukule wa Utumwani.
Hamza mara baada ya kusikia taarifa hio, mapigo ya moyo yalienda kasi mno kwa kuhisi tatizo ni kubwa.
“What position!”Hamza aliuliza haraka haraka na Black Fog alitoa majibu ya uelekeo na Hamza alikata simu palepale na haraka sana alifungua mlango wa gari na...
Bilioni kumi waliona ni hela nyingi sana na , ni ngumu kwa Regina kuwa na Cash ya kiasi chote hicho cha pesa , labda auze hisa za kampuni au kuuza vitu alivyokuwa akimiliki.
Kwa lugha nyepesi ni kwamba kama Regina angetumia bilioni kumi , maana yake asingebakiwa na hela binafsi , zaidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.