Kuna unwritten law kwamba ukikuta mjasiriamali anauza bidhaa zake don't bargain nunua tu huwezi jua anapitia nini labda ana made ni, mahitaji ya nyumbani etc saa ingine wana stress wanaona unawakandamiza the least you can do is buy without bargaining.
I'm a woman and I agree with that! Japo kazi yangu haina direct contact na wateja/wahudumiwa ila wenzetu wanaotoa huduma wamezidi.....anzia kwa secretary ana nyodo kuliko boss mwenyewe, receptionist ndio kabisaa kuna nabaki kujiuliza kwani wamelazimishwa.....
Karanga zikikaa muda mrefu hupata unyevu nyevu na fungus inashauriwa kutochanganya badala yake wakati wa kupika waweza weka peanut butter.
Ila kama inabidi kuchanganya usitengeneze mchanganyiko wa kukaa muda mrefu
Hizo ndo bei zao pricey but worth the experience! Navunja kibubu October naenda na mwanangu ku enjoy just 2 nights...life is for the living pesa zinatafutwaaaa.
Sio kila single mother ameachwa wengine wameacha....ama mnafikirigi hakuna wanaume wenye mapungufu? Unakutana na limtu mwanaume yuko 30s ila anabet hawezi hata kununua pea ya socks kununua luku anashindwa ila ana hela ya bia...hana hata akiba ya kesho mtoto akiugua anapiga washkaji vizinga, mtu...
wasababu hii mada ni story ya kweli ninachukua muda hasa kusoma na kutafakari mtazamo wa mwanaume juu ya kudate na mwanamke aliemzidi kipato.
Nimejivua uhusika nikasimama pembeni kuangalia Wanawake ambao mnawataka nyie kaka zetu sifa mlizoweka hajasoma sana au asiwe na kipato kukuzidi...
Asanteni wote kwa mawazo yenu mazuri nasoma na nina ji assess nakujifunza pia mtazamo wa kina kaka zetu . Uzuri wa JF mtu anakuja na ID fake ili aweze kuji express kwa uzuri kabisa na uwazi ili kupata honest opinion za wadau mimi ni mtaratibu sana na niko submisive sana tu. Ila imagine...
Bila kupoteza muda niende kwenye mada.
Nimekutana na matukio mawili yaliyonifikirisha na kunifanya nikaribie kwenu ili nipate mawazo yenu
Binafsi nimewahi kudate huko nyuma baada ya kumaliza masomo ya chuo siwezi kusema yalikua serious kwasababu bado nilikua sijapata kazi na kufikia malengo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.