Mbona hii lifestyle nzuri sana. Muhimu fanya ibada, mazoezi kidogo, msibani kwa majiran ikitokea nenda kajumuike nao. Hii dunia ya sasa marafiki cyo muhimu. mkeo na wanao ndo marafiki wa kweli. Kutoka na watoto siyo lazima uwe na gari
Inaumizaa mno, ila kwakua ulirecord akiwa anazungumza, ni rahisi wazazi wake kukuamini, pili pengine Mungu alikupeleka sehem hiyo kwa makusudi, imagine anaaga anaenda kanisani na wazazi wake wanajua hivyo kumbe anaenda kwenye ushetani huo, kama kuwaeleza wazazi wake ni ngumu, basi Muombe Mama...
Jibu lake la hajui ilikuaje akaoa, pengine shemeji alimuekea dawa amuoe, tuambie unamuonaje huyo mke wake, labda dawa imeisha nguvu anaanza kuwaza kwa akili zake timamu
Interview ilikua na watu3000, walihijati watu26 kwa kila mda walokua wamepanga, that means oral itakua na watu200+, All the best kwa waliofanikiwa kuitwa oral
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.