Recent content by sindani

  1. S

    Nimekuwa mpweke sana, sina rafiki wa karibu. Je, kuna madhara kuishi hivi?

    Mbona hii lifestyle nzuri sana. Muhimu fanya ibada, mazoezi kidogo, msibani kwa majiran ikitokea nenda kajumuike nao. Hii dunia ya sasa marafiki cyo muhimu. mkeo na wanao ndo marafiki wa kweli. Kutoka na watoto siyo lazima uwe na gari
  2. S

    Marriage is not for everyone

    Am going throug the samething, jana nikaskiza clip ya pastor mmoja anasema marriage is not for everyone, nilipata Nguvu mpya
  3. S

    Did you marry the right person? If asked to remarry, would you still choose the same person?

    Kwakweli singeolewa nae tena,5 years na sijawah kufurahia ndoa.
  4. S

    Tanzanian PhD student dies of Covid -19 complications in India

    Jana tulimzika Marangu jamani Ema, wazazi wake wanapitia wakati mgumu sana. RIP
  5. S

    Soma taratibu kisa hiki kilichonitokea kisha nishauri

    Inaumizaa mno, ila kwakua ulirecord akiwa anazungumza, ni rahisi wazazi wake kukuamini, pili pengine Mungu alikupeleka sehem hiyo kwa makusudi, imagine anaaga anaenda kanisani na wazazi wake wanajua hivyo kumbe anaenda kwenye ushetani huo, kama kuwaeleza wazazi wake ni ngumu, basi Muombe Mama...
  6. S

    Ushauri kwa mdogo wangu: Alioa akiwa na umri wa miaka 23 sasa anamkataa mkewe akidai yeye bado mdogo

    Jibu lake la hajui ilikuaje akaoa, pengine shemeji alimuekea dawa amuoe, tuambie unamuonaje huyo mke wake, labda dawa imeisha nguvu anaanza kuwaza kwa akili zake timamu
  7. S

    Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

    Watu wapi unawasemea, binafsiii nina imani nae kubwa tu, na siko peke yanguu
  8. S

    Swali kwa wanaume: Mnaposema mwanamke huyu mtamu, mnamaanisha nini?

    Na ukimvua inakua kama ulivyowaza? So hujawah kukutana na mbususu isiyo na viwango?wote wanakuaga watamu?
  9. S

    Naomba kujuzwa hospitali bora ya uzazi kwa Moshi

    Hope Clinic kwa doctor Pendo
  10. S

    Interview TPB: Naombeni mnisaidie aptitude test

    Interview ilikua na watu3000, walihijati watu26 kwa kila mda walokua wamepanga, that means oral itakua na watu200+, All the best kwa waliofanikiwa kuitwa oral
  11. S

    Hivi TPB wameshaita second interview baada ya ile

    Wameshatuma email, we regret to inform you.... Dah nimeumia Akii,
  12. S

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Hii ni chaii imezidii kahawa Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom