Recent content by Sinag Man

  1. S

    Tumepanda Airbus 380 kwa ngazi!

    bwana ni sahihi kulingana na daraja ulilokuwa ukisafiria.
  2. S

    Hii mara nyingi hutokea kwa akina dada

    Je Hao apo ni akina dada piaa.
  3. S

    Mwonekano mpya wa Sintah!

    pelekeni kwa wauza chuma chakavu. " mtu huyu kawa too much used"
  4. S

    Mashosti wanagombania mjegeje Mweeeeeee

    Kitasa aina ya vumbi ndiyo cha aina gani hicho. :loco::loco:
  5. S

    Waandishi wetu wa habari wamepauka kweli...

    Wapake mafuta
  6. S

    Zana za kivita za MALAWI

    Hawa ni askari wa tanzania siku walipo ingia anjuani. Huyo mwenye vest ni mzanzibari mmoja.
  7. S

    ivi uyu jamaa yuko wapi?

    Atakuwa nje tungemuona kwenye msiba wa Kanumba.
  8. S

    Picha/sura ya bakhresa

    Huyo siyo Bakharesa ila ni Said Bakharesa na Wanawe, tunataka tuone picha ya Bakharesa mwenyewe.
  9. S

    Polisi wa Tanzania wanafanya mavituuuuz

    kama wao wanafanya hivi Je wananchi wafanyeje?
  10. S

    Russian misaile complex, yars misaile in operation

    Hakuna Traficki atakae kamata hapo kwanza nae atabaki akishangaa tu hivyo ni vitu adimu kuonekana, Hii ni maalumu kwa ajili ya kuua binadamu.
  11. S

    Milalo kwenye TRIPLE- DECKER...

    Hali ya maumbile ya mtu, hebu mwambie mtu akupige picha miguu yako halafu uifanyi tathimini au uwape watu wengine waitathimini unaweza kujuta kwa nini ulifanya hivyo.
  12. S

    Mdau mwenzetu W. Malecela anapodhalilishwa na vyombo vya habari tumsaidiaje

    Wazinz wanamatatizo kweli, yaani wanatafuta masaada wa kumlinda Mtu, wakati alipokuwa anayafanya haya mbona hamkutuuliza. Acha kuleta mada zisizokuwa za msingi.
  13. S

    Morogoro mjini 2015

    Anyoe hizo nywele kwanza kama hanyoi hapati kitu.
Back
Top Bottom