Mkirua
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 5,647
- 2,498
Angefanya hivyo sie wengine tungeyapata wapi haya??umeshindwa hata kugoogle?
Angefanya hivyo sie wengine tungeyapata wapi haya??umeshindwa hata kugoogle?
Jamaa hana mtoto wa kike?
Wapo wengi, ila dini yetu hairuhusu waweke sura zao hadharani na hairuhusu wafanye kazi kama kaka zao!
Jamaa hana mtoto wa kike?
Lol! Na wewe banaa! Wahindi hawauzi sura wanapiga kazi! Jamaa akienda ulaya hana nafasi ya kupiga picha na maceleb kama rais wako, anaangalia chikilimu za kisasa alete kwao!
Jamaa hana mtoto wa kike?
Huyo siyo Bakharesa ila ni Said Bakharesa na Wanawe, tunataka tuone picha ya Bakharesa mwenyewe.
Huyo siyo Bakharesa ila ni Said Bakharesa na Wanawe, tunataka tuone picha ya Bakharesa mwenyewe.
SAID SALIM AWADH BAKHRESA, Chairman, Bakhresa Group of CompaniesSAID SALIM AWADH BAKHRESA is the founding father and the Chairman of the Bakhresa Group Of Companies. He is a well-known industrialist in the mainland of Tanzania and island of Zanzibar. With a humble beginning as a small restaurateur in seventies, he created the business empire within a span of three decades. He is the mastermind behind the success of all the businesses within the group. His vision and excellent managerial skills contributed to the growth of this group to great heights.Mkuu.@Billie
inanipa picha ya upande mwingine kwamba tuende tuendako lakini bado mfumo wa shule ulio mzuri unapatikana Magharibi (US na UK)Nimependa CV za wanawe...wamekwenda shule...hii ndio kitu inakosekana kwa matajiri wengi..
Huu nao uvivu, kuwaza bakhresa ana sura gani. Umeenda google ukakosa result? Changamsha kichwa mkuu!
ukienda kwenye website ya kampuni zake unamkuta kajaa tele na wanae na wadogo zake,ninachofurahia ni kwamba wanae wamesoma vizuri sana na kila biashara ia managing director wake,chain yake ya utawala wa biashara zake iko poa.jamaa hawa ni wabunifu mno!
inanipa picha ya upande mwingine kwamba tuende tuendako lakini bado mfumo wa shule ulio mzuri unapatikana Magharibi (US na UK)
[h=4]Topic Information[/h][h=5]Users Browsing this Topic[/h]There are currently 59 users browsing this thread. (20 members and 39 guests)
- St. Paka Mweusi,
- CottonEyeJoe,
- Mwampeta_7,
- kdany,
- kiyeyeu,
- Rejao,
- Nameless-,
- saragossa,
- KARIA,
- Wa Nyumbani,
- demulikuy,
- Maduhu2,
- ZeMarcopolo,
- Duduwasha,
- mathematics,
- Mr. Bigman,
- Malipo kwamungu,
- Adharusi,
- BONGOLALA,
- cedrickngowi
Mkuu Billie wala hujakosea kuuliza, swali lako linaonyesha umuhimu wake huyu bwana, kwa idadi ya waliopo kwenye mada yako inaonyesha wazi kuwa ni watu wengi walikuwa hawaitambui sura ya huyu mlipa kodi wetu....
Hawa si ndio walewale.., shangaa JF anaweza kupost thread but kutafuta elimu zaidi through google hawazii! Siku hizi tuna namna nyingi sana za kujielemisha but wabongo tupotupo tu! Kazi kweli kweli.