Baada ya kujitambua funga na kusali, tafuta watumishi wa mungu hiyo spirit itoke. Ninaushuhuda mwingi wa namna hyo unakuta kuna roho inakuafuatilia ya mababu zako au maneno ya watu tu so mungu ndo habari ya mjini.kama ni mkristo ni pm nikupe no ya mtumish anasemina dar anafungua watu kama weww...
Mapenzi yana wenyewe.mi sa hivi mtu ukiniambia nakupenda naona kama unanitukana ninavoyachukia haya mahusiano.maumivu yake bora mtu uwe single uwe happy
Dada hakuna lisilo shindikana chini ya jua.Nina face matatizo hama hayo sema mm ni mchumba.tuligombana nikaambulia maneno ya kejeli ambayo yananiuma mpak Leo.ikiwemo nilikuchumbia kwa huruma tu, ma ex wangu walikuwa bora,huna akili, yote nimepokea kwa mikono miwili na anataka kuvunja uchumba...
Dada hakuna lisilo shindikana chini ya jua.Nina face matatizo hama hayo sema mm ni mchumba.tuligombana nikaambulia maneno ya kejeli ambayo yananiuma mpak Leo.ikiwemo nilikuchumbia kwa huruma tu, ma ex wangu walikuwa bora,huna akili, yote nimepokea kwa mikono miwili na anataka kuvunja uchumba...
na nyie wanaume mmezidi ubahili na ubabe.wanaume wengine hata kumnunulia mpenzi wako hata zawadi huwezi, kila kitu ubabe, hujui kubembeleza , kila kitu usikilizwe wewe agrrrr ngoja tu mdanganywe bwana.ila mapenzi yanauma jaman bora mie nimeamua moja kumpenda mungu.mume wangu yesu tu basi.
hahahaha umenichekesha. sana umenikumbusha mdogo wangu naye shule kaenda A level eti anadai ugali mbaya. na maharage baba akamwambia ukiwa na njaa utakula.sa hivi kazoea hata likizo harudi home.
nimemweleza mama ake mzazi ni mtu wa dini ananiambia tusali na kufunga kumuombea eti ni aibu sana kusema tunaachana kwa sababu hiyo. ila nimemweleza ukweli hisia zangu
kweli mapenzi ni kitendawili, wengine wanapenda wenye heshima na uadilifu we humpendi mwenye heshima unataka matako na miguu.huo ndo ubora wako wa kuchagua duu.hujawahi kuumizwa ukiumizwa na mwenye miguu na matako ndo utamani mwenye chongo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.