Mtoa mada ni mjiolojia labda nikuulize umebobea kwenye jiokemia au jiofizikia au jiolojia? Pili unataka tume ingejilidhisha kujua percentage of recovery unaweza kuniambia hiyo ilikua ni hadidu ya rejea ya ngapi?. Hivi unaelewa kwamba wazungu awa wanauza makinikia yao mgodini then smelting cost...
Katika maelezo yako mtoa mada kuna vitu haujaweka sawa.
Udini: Haujasema wangapi wamepewa ajira kutokana na uisilam wao na elimu zao zipo vipi
Ubadhilifu: Haujasema ni kiasi cha shilingi ngapi zimeibiwa na Kabla shirika lilikuwa linatoa faida sh ngapi na baada ya Dr. Dau ni shilingi ngapi...
Sasa hivi angalia baraza la mawaziri limejaa watu wa dini gani asilimia 75 na humu jf kimya. Wakati wa Kikwete akiteua waislam wakikaribia nusu tu ni kelele tupu. Msitegemee chochote
SHIMIWI ni wiki mbili tu. Halafu walianzisha si kama hawana akili walianzisha kwa malengo mazuri kumfanya mtumishi wa umma ajenge mazoea ya kufanya mazoezi kila wakati na mwisho aende kwenye mashindano. Pili inasaidia kufahamiana kama watumishi wa wizara husika tatu inatangaza shughuli...
Wana Jf,
Nimepata habari kwamba mwenyekiti aliyechaguliwa siku chache zilizopita kupitia chama cha CHADEMA mtaa wa simu mwanga amehukumiwa kwenda jela kwa kosa la kuizuia mahakama isifanye kazi zake hivyo kukiacha kiti hicho wazi kwa ajili ya uchaguzi mwingine.
Nawasilisha
Wana JF,
Kuna tatizo linazidi kukua siku hadi siku kwa chama tawala kuweka mapingamizi kwa wapinzani ili wagombea wake wapite bila kupingwa.
Nina shauri sheria za uchaguzi zirekebishwe ili kunapotokea kuna mgombea mmoja kuwe na kura za ndiyo au hapana hivyo kufanya wananchi wapige kura...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.