Watu wengi hupenda kutoka usiku kwa miadi tofauti tofauti. sasa ili utokelezee na uonekane tofauti na wengine unatakiwa kuvaa simple lakini muonekano wa kuvutia. leo nimekuletea jinsi ya kuvaa pindi utokapo usiku.
JEANS,SHIRT NA KOTI
unaweza ukaamua kuvaa jeans na shati halafu juu ukaweka...
Je umealikwa kwenye sherehe na hujui uvae nini, usijali blog hii ipo kwa ajili yako itahakikisha unapata kitu cha kuvaa na ukatokelezea sana. watu wengi sana hushindwa kwenda kwenye sherehe kutokana na kukos cha kuvaa, kama unavyojua sherehe hukutanisha watu mbalimbali hivyo basi ni vyema...
Ipo hivyo kwa sababu inahitaji utumie muda mwingi sana kuisoma ili uweze kuielewa hivyo basi unakuwa umejengeka zaidi kiimani lakini ingekuwa direct watu wangekuwa wanaisoma kama gazeti kwa kuwa kila kitu kipo wazi kwa hiyo imani ingekuwa haba kwa waumini. I think sio kwa nia mbaya ni kukomaza...
Unaweza ukaunga mkono juhudi za mheshimiwa rais hata ukiwa upinzani cha msingi ni kutokwenda kinyume na sheria jambo jema likifanyika upinzani hukaa kimya ila ikitioke kuna vitu tofauti vimefanyika ndo utasikia upinzani wakipiga kelele but mwisho wa siku ni maamuzi ya mtu #AMEAMUA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.