Recent content by simon maulid

  1. S

    Wanaume wenye huruma

    True fact.
  2. S

    Mchepuko almanusra udakwe bafuni

    Hahahahaha[emoji23] [emoji23] [emoji23] haya miss chaga vpi hii nayo n kweli au? Maana ww ni kama admin kwenye huu uzi.
  3. S

    Mchepuko almanusra udakwe bafuni

    Hahahahaha[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] miss chaga na wewe umo nn maana.
  4. S

    Offer kwa wanachuo watarajiwa na watu wote..

    Nikupe 1.2M kwa hyo corei7 kweli hyo n bei ya promotion,vpi naweza pata.
  5. S

    Haya ya HESLB, TCU na ukosefu wa ajira yanaumiza!!!

    Yaaani wengne mpaka na chuoni tushaingia lakin bado hawajatoa.
  6. S

    Catholic university of allied science(BUGANDO)

    Vpi kuhusu cc tuliochaguliwa pharmacy hatuhusiki.
  7. S

    TCU kazi kwenu leo

    Daaaaah wengine tuliona janana af ghafla zkapotea,ila leo watatoa.
  8. S

    Je ni kosa kuchanganya wino kwenye mtihan wa taifa?

    Hapana nilifanya hvyo kweny GS sasa nilvyo pata ni tofauti na nilivyotegemea,coz nna div one ila GS imechafua PCB,BAM fresh ila GS duuuuh.
  9. S

    Je ni kosa kuchanganya wino kwenye mtihan wa taifa?

    Ahsante me nilidhan ni makosa,nimekupata sana.
  10. S

    Je ni kosa kuchanganya wino kwenye mtihan wa taifa?

    Instruction inadai uandike kwa blue or black ink.
  11. S

    Je ni kosa kuchanganya wino kwenye mtihan wa taifa?

    Kwahiyo ukichanganya nyeusi na blue kama ilivyo elezwa hapo juu c makosa.
  12. S

    Je ni kosa kuchanganya wino kwenye mtihan wa taifa?

    Jaman naomben kuuliza,hiv ukichanganya wino mfano kwenye GS ukaandika point yako kwa wino mweusi alafu maelezo kwa wino wa blue nini matokeo yake?
  13. S

    Jeshi la Polisi lapiga marufuku mikutano yote ya ndani na nje ya vyama vya siasa

    hahahahaha hyo kali lakin mpaka m2 kawa hvyo ujue na wao wameisoma.
Back
Top Bottom