Wale ma-dr walikuwa wanachanganya kati ya sera yenyewe na mikakati ya utekelezaji mwakilishi wa shule binafsi ametiririka vizuri sera ni mzuri kwa kuanzia.
Inaondoa ukoloni hivi kwa nini miaka zaidi 50 ya uhuru uendelee kung'ang'ania Kiingereza kufundishia wakati Kiswahili ndicho kinachotumika...
Sumaye usitishwe na mawakala na vibaraka wa ufisadi wanaotaka uongozi kwa kununua wapiga kura kaza buti sema usichoke wapo watu mamilioni tunaokuunga mkono.Kama Sumaye anakemea rushwa halafu mtu anatukana basi huyo mtu anatumiwa.Kiongozi yeyote anaye kemea maovu anapaswa kuungwa mkono ili...
Tatizo kubwa linaloikabili nchi yetu ni kushadidia ITIKADI ZA VYAMA VYA SIASA na lingine ni kule kutochambua mambo kwa kina. Waziri wa Fedha amesema kiwango cha kodi kwa mishahara ya wafanyakazi kimepungua kutoka 13% hadi 12% na kima cha chini kimepanda.Kwa busara tungelisubiri tuone ni kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.