nuruyamnyonge
JF-Expert Member
- Mar 18, 2014
- 4,386
- 2,151
Mhadhiri wa chuo kikuu cha DSM Dr .George Kahangwa, ameipa daraja la "C" sera mpya ya elimu nakushauri muda bado upo ikaboreshwe upya.
Dr Kahangwa ameyasema hayo katika kipindi cha kipima joto ITV kuanzia saa 21:00-23:00 leo tarehe 20.02.2015
Unakaribishwa kuchangia na kutoa mapendekezo mapya.
Dr Kahangwa ameyasema hayo katika kipindi cha kipima joto ITV kuanzia saa 21:00-23:00 leo tarehe 20.02.2015
Unakaribishwa kuchangia na kutoa mapendekezo mapya.