nakuelewa sana mpwa...
cha msingi tuzidi kutafuta hela...
yani mimi nikiangalia nilipo ..kuna vitu petty siwezi engage kwakwel...
Mungu akikubariki...bariki wengine
Brother ..unajua kuna maisha ukiishi kiroho inasaidia kuwa na busara kwenye maisha ya kimwili.....
No matter what huyo mtoto mdogo anakama 6 hivi kama sikosei...kampani yake sana ni hawa kaka zake (wakwangu)
kwa miaka mitatu mfululizo hawa wakijaga likizo ye huwa anabaki na wala sikuwa napenda...
Mkuu tupo pamoja ase...
1. Maumivu yalichukua takriban mwaka...ila ase Mungu anasaidia ,,ujue hata sasa namba nime save ila nime mute kila kitu yani hata aki post sijui au akinicheki whatsapp au mitandaoni nachelewaga kumuona au ku pata notification mpaka anitafute normal texts etc...inshort huu...
***UPDATES
Hellow team
Hii ni updates kuhusiana na post yangu ya tarehe 19/10/18
8 years imepita tangu yaliyonisibu.....
well kwa ambao hawakuwepo au kutojua kwanza a praying soul is all one needs to grow further......
Kwanza kipind kile kwa kweli ndoa ilisumbua jamani kutokana na vitu...
you pressed the wrong button...uzuri nimekua sana ila pia sijaacha retaliate.."weak man baba yako ''
hahaha back to basics...ase ntashusha mrejesho hapo chini mda si mrefu mpwa
ulipotoka na ukaenda unapajua....
huyo mumeo atakuwa anaku track...sijajua kwa simu au kwa wadau....
kuna kitu katonywa/kaona kwakukufwatilia...uzuri ni mumeo wa ndoa, ngoja naye akaushe uko apate sababu...
kesho kutwa mkiwasiliana wote iwe bila bila
mkuu i am the same case as you...toka nikutoke....sadly huyu wangu bro hana mtoto wala nini..alafu hataki kujishugulisha..na nimsomi ana degree kabisa...ye nikukaa vilabuni full time ukimuona hata kama unataka mpa kazi unaweza ogopa..kazeeka kisa pombe..wameombea mpaka basi..sober kakaa mwaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.