Recent content by simba7

  1. S

    Kichekesho cha Wanyambo kujiengua kabila la wahaya!

    Tupeni somo sisi wengine hatujui historia ya huko kagera ingawa nimezaliwa kagera(bukoba mjini)
  2. S

    Kina dada mliozaliwa miaka ya 80 your reign is over

    Je wa 70 au hawafai?kimtazamo wengi wameanza sura zao kujikunja
  3. S

    Bukoba vs Moshi

    Leta picha ya mji wa Njombe usidanganye watu bukoba IPO vizuri sana tofauti na Njombe ambayo inafanana na muleba
  4. S

    Mbowe atuhumiwa kuhamisha mabilioni

    Nchi hii hakuna msafi woote wezi,hamjapata nafasi tu msidanganyane Fulani fisadi mara hili mara lile woote njaa
  5. S

    Chopa nyingine ya CCM

    Nasari hajapata ajali ya chopa wanamsingizia hapo ameanguka alikuwa anakata kuni kijijini kwao
  6. S

    Chopa nyingine ya CCM

    Ukawa watakatifu hata mgombea wao mtakatifuuu hana hata dosari hongera sana tena sana wafata mkumbo
  7. S

    Hatimaye Lowassa ashindwa kuhutubia Tunduma

    Mbona mnamponda sana Lowasa?nani ambae hajawahi kuumwa?tuwe wastaarabu kidogo mmeambiwa vyombo tatizo mpaka kesho,subirini hiyo kesho mtaambiwa nini ndio mpayuke
  8. S

    ITV imepotosha habari ya usiku juu ya Magufuli

    Acha dharau ww Mo
  9. S

    Lowasa ukitaka kura yangu tueleze haya watanzania.

    Kama mnajuwa hakuna mkamilifu kelele za nini?25 octb chagua unaemtaka usilazimishe watu wahamie ukawa au wampigie Lowasa kila mtu na maamuzi yake
  10. S

    Hawa ndio Wafadhili wakuu wa CHADEMA ambao Mbowe hataki kuwataja hadharani

    Mnasema mabadilikoo mabadiliko mnajuwa mabadiliko au mnafata mkumbo?wengine mmekaa vyuoni miaka dahali lakini pumba kabisa,kila siku mabadiliko je familia zenu mmebadili kwanza?au bendera kufuata upepo
  11. S

    Gharama za maisha Manispaa ya Sumbawanga

    Pigs moyo konde ingia swax
  12. S

    Lowassa una tatizo

    Kazi ipo
  13. S

    Afya ya huyu mgombea inatia shaka

    Waambie hao
  14. S

    Maelfu wampokea Magufuli na kuhutubia Tunduma

    Na bado CCM mbele kwa mbele
Back
Top Bottom