Been reading this great piece, hakika JF ndiyo "gazeti" lililobaki kuibua hoja, kutupa nafasi nasi kuchangia bila woga. Mnastahili pongezi sana.
Lakini bado kazi moja, tuleteeni habari alipo Azory Gwanda, maana hata waajiri wake wamemtelekeza. Hawamzungumzii tena, wamewaachia wazungu...
Dalili ni mbaya mno kwa serikali ya sasa kwa kuamua kugombana na maaskofu.
Bila kupima uzito wala kutumia akili, angalau kidogo, Bashite amejipa majukumu ya ugomvi huo, akianza na mbinu dhaifu kabisa ya eti kuwachafua maaskofu ambao kimsingi, wana daraja la manabii.
Machi 26 mwaka huu wakati...
Tarehe 16 January 2017 Mahakama Kuu nchini Bangladesh ilitoa hukumu kwa maafisa ujasusi 26 wa nchi hiyo kunyongwa mpaka kufa,. Adhabu hiyo kwa wafanyakazi 26 wa usalama wa taifa nchini Bangladesh ya kunyongwa mpaka kufa inatokana na kuhusika kuwatesa, kuteka, kutia vilema na kufanya mauaji ya...
Nimeshangaa. Hakika nimelia baada ya kusikia eti Shilingi milioni zitatumika kumzika binti aliyepigwa risasi na polisi Dar es Salaam, Aquiline Akwilini.
Najiuiza, pesa zote hizo za nini?
Kwanini wasipewe wazazi wake zifanye mambo mengine ya maana ikiwamo kusomesha wadogo zake na kupatikana kwa...
Habari za uhakika ni kwamba Watanzania sasa wameanza kupata akili kubwa. Hawataki tena kuburuzwa, pamoja na kwamba dhambi ya woga bado inaendelea kuwang'ang'ania.
Yaani kupigwa risasi 38 kwa Tundu Lissu zaidi ya miezi sita iliyopita, bado wabongo wanaendelea kumzungumzia. Siyo kama zamani, ishu...
Mengi yanaweza kuelewa, lakini kikubwa ni kwamba mpinzani wa kweli nna mwanafunzi kindakindaki wa Zimbabwe, Morgan Tsvangiria amefariki dunia.
Lakini kuna tetesi kitoka kwa watu wake wa karibu kuwa kiongozi huyo alipewa sumu ya kummaliza taratibu.
Waliofanya unyama huo ni "viroboto" wa...
Tanzania ya Mwalimu Julius Nyerere sasa inabadilika kwa kasi ya ajabu; unatoka kuwa nchi ya amani na sasa inagubikwa na matukio ya mauaji ya raia kila uchao.
Kibaya zaidi wanaouawa siyo vibaka. Ni viongozi wa vyama vya siasa, hasa kutoka vyama vya upinzani.
Pia wanaouawa, kutekwa na kupoteza...
Sijui Tanzania inaelekea wapi? Yaani kila mmoja amegeuka kuwa mtu wa hovyo. Hakuna mwenye msimamo wala uthubutu wa kusimamia kile anachokiamini. Sijui nani katuroga masikini ya Mungu.
Wajinga na wale wasiondesha shule, siwalaumu sana. Lakini nalia na kusaga meno kwa hawa wasomi wetu na...
Ni muda sasa tangu kuwepo kwa taarifa kuwa Spika wa Bunge letu la Jamhuri, Job Ndugai anaumwa na kwamba amesafirishwa kwenda India kwa matibabu zaidi.
Lakini ajabu - siyo Bunge wala Serikali wanaotueleza anasumbuliwa na ugonjwa gani. Pamoja na kwamba ugonjwa ni siri ya anayeugua, lakini kwa...
Niliamua kumpuuza Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam na mambo yake; hasa uamuzi wa hovyo anaoutoa kila mara anapokutana na umma anaouongoza.
Uamuzi wangu ulitokana na namna anavyojiweka kwenye kiti cha enzi na kusahau kuwa naye ni binadamu, mwajiriwa, mtumishi na zaidi sana anavyojiapiza kuwa...
Mkuu, aksante, kinachofanyika kwa hawa jamaa, ni kuhakikisha wanampanga na kumwelimisha mstaafu ili asitumie fedha zake bila mipango yenye kumhakikishia maisha endelevu, bila kugeuka ombaomba baada ya kumaliza fedha zake bila kuzifnyia kazi inayomwezesha kupata hayo maendeleo.
Lakini pia zipo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.