Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai ni mgonjwa anatibiwa India! Tumuombee

Ishimba

Member
May 19, 2017
22
84
pic+ndugai.jpg


Ni muda sasa tangu kuwepo kwa taarifa kuwa Spika wa Bunge letu la Jamhuri, Job Ndugai anaumwa na kwamba amesafirishwa kwenda India kwa matibabu zaidi.

Lakini ajabu - siyo Bunge wala Serikali wanaotueleza anasumbuliwa na ugonjwa gani. Pamoja na kwamba ugonjwa ni siri ya anayeugua, lakini kwa nafasi ya kiongozi wa mhimili; Bunge la Jamhuri, hakuna haja ya kuficha wananchi juu ya kinachomsumbua kiongozi wetu. Tuambiwe tu, hata kama ni "juujuu."

Sisi wananchi ndiyo tunalipia matibabu yake, so siyo vyema hata kidogo kutojua yuko hospitali gani, ili na sisi tunaofanya shughuli zetu hapa India tumtembelee na kumjulia hali.
 
Lissu kokote alikopita updates zilikuwa zinatolewa mara kwa mara na kwa kweli ni vizuri tukapewa taarifa za viongozi wetu. Natambua details za ugonjwa ni siri ya mgonjwa, daktari, na familia yake lakini kupeana taarifa kwamba fulani ni mgonjwa na labda kalazwa hospitali fulani haijawahi kuwa siri hata mara moja.
 
Ni muda sasa tangu kuwepo kwa taarifa kuwa Spika wa Bunge letu la Jamhuri, Job Ndugai anaumwa na kwamba amesafirishwa kwenda India kwa matibabu zaidi.

Lakini ajabu - siyo bunge wala serikali wanaotueleza anasumbuliwa na ugonjwa gani. Pamoja na kwamba ugonjwa ni siri ya anayeugua, lakini kwa nafasi ya kiongozi wa mhimili; Bunge la Jamhuri, hakuna haja ya kuficha wananchi juu ya kinachomsumbua kiongozi wetu. Tuambiwe tu, hata kama ni "juujuu."

Sisi wananchi ndiyo tunalipia matibabu yake, so siyo vyema hata kidogo kutojua yuko hospitali gani, ili na sisi tunaofanya shughuli zetu hapa India tumtembelee na kumjulia hali.

Malipo ni hapahapa duniani. Mwache atibiwe kwa fedha zetu wakati yeye amedhibiti na kuhakikisha hata senti moja haiendi kwa Lissu.
 
Ni muda sasa tangu kuwepo kwa taarifa kuwa Spika wa Bunge letu la Jamhuri, Job Ndugai anaumwa na kwamba amesafirishwa kwenda India kwa matibabu zaidi.

Lakini ajabu - siyo bunge wala serikali wanaotueleza anasumbuliwa na ugonjwa gani. Pamoja na kwamba ugonjwa ni siri ya anayeugua, lakini kwa nafasi ya kiongozi wa mhimili; Bunge la Jamhuri, hakuna haja ya kuficha wananchi juu ya kinachomsumbua kiongozi wetu. Tuambiwe tu, hata kama ni "juujuu."

Sisi wananchi ndiyo tunalipia matibabu yake, so siyo vyema hata kidogo kutojua yuko hospitali gani, ili na sisi tunaofanya shughuli zetu hapa India tumtembelee na kumjulia hali.
Bili yake inalipwa ila ya Lissu hailipwi. Mpeni pole zake na mumtakie kila laheri
 
Ni muda sasa tangu kuwepo kwa taarifa kuwa Spika wa Bunge letu la Jamhuri, Job Ndugai anaumwa na kwamba amesafirishwa kwenda India kwa matibabu zaidi.

Lakini ajabu - siyo bunge wala serikali wanaotueleza anasumbuliwa na ugonjwa gani. Pamoja na kwamba ugonjwa ni siri ya anayeugua, lakini kwa nafasi ya kiongozi wa mhimili; Bunge la Jamhuri, hakuna haja ya kuficha wananchi juu ya kinachomsumbua kiongozi wetu. Tuambiwe tu, hata kama ni "juujuu."

Sisi wananchi ndiyo tunalipia matibabu yake, so siyo vyema hata kidogo kutojua yuko hospitali gani, ili na sisi tunaofanya shughuli zetu hapa India tumtembelee na kumjulia hali.
Anatibiwa kwa fedha zipi kwanza??
Tuanzie hapo kisha mengine baadae
 
Hahaha mleta mada unafurahisha, anatibiwa india tumuombee?! Ngoja atibiwe kwanza.
Yani yeye ugonjwa wake umekosa tiba Hospitali ya Mkapa Dodoma?! Na muhimbili wameshindwa?! Yani hata Regency na Agha Khan hospital wameshindwa?!Walijaribu Mloganzila hospitali mpya nao walishindwa?!

Bunge huwa linataka mpaka hospitali zetu zote zishindwe kabisa. Na kama zimeshindwa kabisa vipi yeye hakuwaambia Shilawadu?! Vipi alipelekewa pesa na yeye za kutibiwa india?! Nahisi walisahau kumchangia mbona hatukuona live kama wastara?!
 
Hivi spika akiwa anaumwa muda mrefu busara ingetumika ajiuzulu nafasi yake ya uspika na kubakia mbunge wa kawaida.

Hatua hiyo itamsaidia kujipunguzia majukumu na kupata muda mrefu wa mapumziko huku akiendelea na matibabu.
anaumwa nini?
 
Back
Top Bottom