Ungetambua siasa si zaidi ya wazazi usingediriki kuwaita wenzio misukule!Hapa ni eneo la kushindana kwa hoja na si kuwaita wapinzani wako majina ya ajabu.Nimefanya hivyo kwa sababu ww unataka hivyo.Tukubali kutokukubaliana na ndg na tusibatizane majina ya ajabu ndg.Nisamehe km nilikukwaza nami...
Inawezekana kabisa CCM kuondolewa madarakani,lkn kwa chama kipi mbadala?Je,kwa vyama hivi hivi visivyo na dira ya dhati na vinavyotegemea zaidi matukio ili vimee?Tupa tupa kwa vyama vya upinzani hivi tulivyonavyo leo,CCM bado itaendelea tu kutawala.Lazima wapinzani wetu waanze kujikita sasa...
CCM ndiyo chama dola km hutaki kufa.CCM haitatolewa madarakani na viji-saccos vyenu iwe kwa namna yeyote mnayoijua nyinyi.Tunauwezo wa kuwafanya chochote na msitufanye lolote saccos nyie.Na ukileta fyokofyoko tunadili na ww km fyoko.Wahuni tunadili nao kihuni na werevu tunadili nao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.