Recent content by simba jike

  1. simba jike

    KENYA: Binti akiri kumsingizia babake kumbaka na kupelekea afungwe kifungo cha maisha

    Dizaini kama mama alitembeza hela mzee afungwe ili achukue mali Sent using Jamii Forums mobile app
  2. simba jike

    KENYA: Binti akiri kumsingizia babake kumbaka na kupelekea afungwe kifungo cha maisha

    Aliomba kufanya DNA judge akamwambia ni expensive,akawambia atalipa judge akamjibu muda ushapita wa kufanya DNA Sent using Jamii Forums mobile app
  3. simba jike

    KENYA: Binti akiri kumsingizia babake kumbaka na kupelekea afungwe kifungo cha maisha

    Amefungwa maisha Sent using Jamii Forums mobile app
  4. simba jike

    KENYA: Binti akiri kumsingizia babake kumbaka na kupelekea afungwe kifungo cha maisha

    Story ya huyo baba imenitoa machozi asubuhi,kama mwanamke na mama nimejiskia vibaya sana ila Mungu ni mwema na ana kusudi kumleta huyo binti kukiri na kusema ukweli kuwa baba yake hakumbaka,hopefully mzee atapata haki yake. Sent using Jamii Forums mobile app
  5. simba jike

    Naombeni ushauri rafiki yangu anaoga dawa nje usiku was saa 7

    Yashawahi kunikuta nilikuwa na rafiki wa hivyo,na kuna siku alikiri kwamba ashawahi kumuuliza mganga kama mimi namroga,Mungu saidia mganga akamwambia sijawahi kumroga,nimevunja naye urafiki coz nimeona huko mbele anaweza kuniletea shida na nilikuwa na urafiki naye kwa zaidi ya miaka 10...
  6. simba jike

    Wadada angalieni sana tabia yenu ya kuombaomba pesa kwa mpenzi wako

    Toa hela bhana ukianza maswali ya kabla ya wewe alikuwa anahudumiwa na nani naye ukimuomba papuchi anaweza kukuuliza kabla ya yeye alikuwa anakupa nani Sent using Jamii Forums mobile app
  7. simba jike

    Hii habari inaweza sababisha mtu kukacha Jumamosi

    Na bora asije coz ana nuksi sana huwa either hatushindi au tunashinda kwa tabu sana Sent using Jamii Forums mobile app
  8. simba jike

    Hukumu ya kifo ya mwalimu aliyemuua mwanafunzi kwa kiswahili

    Natamani watetezi wa huyu mwalimu muuaji wapite hapa wasome Sent using Jamii Forums mobile app
  9. simba jike

    Faida na Hasara alizopata Mjomba 'ake Omar kwa Kufuga Majini

    GuDuMe I love youu......sijui mjomba yake Omar keshafanya yake!? Sent using Jamii Forums mobile app
  10. simba jike

    Bukoba: Mahakama Kuu yamhukumu kunyongwa hadi kufa Mwalimu aliyemuua mwanafunzi kwa kipigo

    Inaumiza sana hasa ukizingatia mtoto alikuwa mdogo asiyeweza kujitetea. Sent using Jamii Forums mobile app
  11. simba jike

    Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Everrrr bodyyyy sey yeeeeee Sent using Jamii Forums mobile app
  12. simba jike

    Kampuni ya Namaingo wakijadili uwekezaji wa nyuki, kilimo cha korosho na alizeti..

    Naona mnajipanga kuwaliza wastaafu wa watu maana nikiangalia hapo naona kabisa mshasoma na tarehe zao za kupata mafao Sent using Jamii Forums mobile app
  13. simba jike

    Kufungiwa kwa wimbo wa "Mwanza" wa Rayvanny na Diamond: Je, ni mawazo ya bodi nzima au mtu binafsi!?

    Muda maalum utaulimit vipi ikiwa unapigwa kwenye bodaboda na bajaj mtaani masaa yote na wanazunguka mitaani kupeleka abiria!?jana saa tano asubuhi nimepishana na daladala inapiga huo wimbo na ilikuwa garage ya mtaani watoto wanacheza pembeni yake....bora ulivyofungiwa tu.
  14. simba jike

    Mwanza: Mwanafunzi wa kidato cha 5 ajinyonga hadi kufa

    I've been thru that...I feel you....Mungu akusimamie ukitaka kuishinda fikiria ulikotoka mpk hapo ulipo Mungu amekulinda kiasi gani endelea kumuomba akupe faraja na ulinzi hakika utashinda.
  15. simba jike

    Dhana dhanifu juu ya kutekwa Mo Dewji

    Tatizo la Bashite ni kukurupuka anapenda Mic kuliko chai.
Back
Top Bottom