KENYA: Binti akiri kumsingizia babake kumbaka na kupelekea afungwe kifungo cha maisha

PANTHERA LEO

JF-Expert Member
Jan 25, 2019
2,307
3,431


Msichana anae fahamika kwa jina la "Dorcas" amekiri na kuomba msamaha kwa baba yake kwa kosa la kumsingizia baba yake kuwa ali m-baka.

Inasemekana dorcas alishinikizwa na mama yake kumshataki baba kwa kum-baka ili baba afungwe jela na wao wachukue mali

Kisa iki kilitokea miaka kumi iliyopita na mpaka sasa baba huyo amesha tumikia miaka kumi jela!

Hii ni fedhea nyingine kwa mama zetu.

(samahani kwa uhandishi m-bovu, imeniuma sana)

CHANZO: Citizen TV, Kenya


UPDATES

Wakenya wameanza kuomba BABA huyo atolewe gerezani
 
Msichana anae fahamika kwa jina la "Dorcas" amekiri na kuomba msamaha kwa baba yake kwa kosa la kumsingizia baba yake kuwa ali m-baka.

Inasemekana dorcas alishinikizwa na mama yake kumshataki baba kwa kum-baka ili baba afungwe jela na wao wachukue mali

Kisa iki kilitokea miaka kumi iliyopita na mpaka sasa baba huyo amesha tumikia miaka kumi jela!

Hii ni fedhea nyingine kwa mama zetu.

(samahani kwa uhandishi m-bovu, imeniuma sana)

(Citizen TV Kenya)

Nimeitoa kwa @milard ayo

Sent using Jamii Forums mobile app
Mahakama za kishenz unawezaji kutoa hukumu without undergoing DNA TEST ili ku verify Kama kweli alimbaka?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kesi za wanawake kuwalisha sumu mbaya watoto wao kuhusu baba zao zipo sana,jirani yetu mmoja kipindi nakua mama yake alimwambia baba yake alishakufa kitambo tena alikufa hata hajazaliwa ila wapevu wakamsubiri akue kue wakamwambia ukweli nakumbuka jamaa alimchukia sana mama yake baada ya kulijua hili.

Mwanamke siyo kiumbe wa kumuamini hata mara moja anaweza kukutia kwenye janga ukajikuta maisha yako yote unajuta kumfahamu.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Back
Top Bottom