Habari wana MMU
Ushauri wenu unahitajika wapendwa
Naomba niende moja kwa moja kwenye mada yangu
Mimi ni mwanamke wa miaka 30, nimeolewa ndoa halali na nina mtoto mmoja. Kinachonifanya mpaka niombe ushauri kwenu wadau ni kwamba hapo awali wakati tunaanza maisha na mme wangu mimi sikuwa na kazi...
Ama kweli kizazi bahili hiki,kama vipi tengenezen hata papuchi za kwenu ili muepuke kuhonga!!lo!,kama hamtafanya hivyo hela zenu mtatoa tu tena sana!,chezea power ya mwanamke wewe!!,kwanza sipaswi kukuomba hela ila wewe utajikuta unatoa tu! ni wajibu Wako tang Enzi na Enzi!
Pole bidada, inaonekana hujui thaman yako, hata kama takwim zunaonyesha wanawake ni wengi kuliko wanaume hupaswi kukubali kugeuzwa mchepuko aka spare tyre,kusoma hujui hata picha huelewi, jiandae kila wanapotofautiana we unakuwa kipozeo log!
Haya mapenzi bwana,mi nilikuwa napenda kupiga Simu kwa mpenzi wangu mda wote bila kujua nilikua namkera,alikuja nibwatukia neno sitasahau!!moyo wote ulikufa ganzi,nikawa simtafuti hadi anitafute yeye!,akaanza tena kunilaum ohh mbona siku hizi hunipigii, mara umepoa sana!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.