pure crazy
Senior Member
- Nov 28, 2013
- 190
- 37
real love never die mie nakusuppor sana kuwa huo ndio upendo na si ubabaishaji
Duuuuh....
Kupanga ni kuchagua!!! Chagua lililo jema kwako kama anakupenda mwambie umechoka kuvumilia arudi kwako na muishi hvyo hvyo bila kupata hiko kitu maana inaonekana mwanaume yupo kifaida zaidi sasa we mkishazoeshana hayo mambo kuna siku mpo kwenye ndoa atakuambia sasa wife kuna jimama huko inabid aje kuish hapa na wewe uwe hausigel just kwa week na tutapata kitu kikubwa sana.......
Word...point taken
real love never die mie nakusuppor sana kuwa huo ndio upendo na si ubabaishaji
Ilianza kama utani kutumiana message za kirafiki,kuchekeshana hadi leo ninavyoandika hivi.mwaka jana ilitokea nimetokea kumpenda mkaka ambaye tulikua marafiki na alikua ananishauri kwenye mambo mengi tofauti ya maana, urafiki uliendelea huku akionesha kuwa hana mahusiano yoyote yale hadi siku nlipogundua kuwa yupo kwenye mahusiano na mdada mwingine.
Baada ya kugundua na kumuuliza alisema nimvumilie ananipenda kwa dhati na mimi ndio mwanamke wa maisha yake,kwa kua nilimpenda nilivumilia yote aliniambia aliangukia mikononi mwa huyo dada mwingine baada ya kuumizwa na binti aliekua akimpenda kwa dhati nikaona sababu amekua wazi na kumpenda nampenda kumpoteza sitaki nikavumilia hadi pale maji yalipofika shingoni....
Pale ambapo yule dada alipoanza vitimbwi nikaona sio kesi nikamwambia kaka chagua moja kama ni mimi au huyo mwenzangu nikampa muda wa kukaa kutafakari yupi anaona kwake atamfaa kwenye maisha yake siwezi kuficha niliumia sana kutowasiliana naye kwa kipindi kile hadi siku atakayotoa maamuzi.siku ikafika kaka akasema nimeona bora kuwa na wewe na sasa tupo kwenye mahusiano halali nilifurahi sana nikaona sasa nimepata mtu wa kufa na kuzikana
Kwa kufupisha sasa amesema hawezi kuwa na mimi kwa sasa maana hatafanikisha malengo yake kwa kua akiwa na mimi namdekeza,namfanya aone kama yupo likizo anaomba arudi kwa x wake akakamilishe mipango yake baada ya hapo turejeshe mahusiano yetu rasmi hadi sasa tunaonana,hatujaachana rasmi ingawa huyo dada hajui hiki kitu imekua siri kubwa kati yetu sisi...
Maumivu ninayopitia kumuona yupo na huyo dada mwingine ni makubwa na mazito nimejaribu kila njia labda atatoka kichwani nimeshindwa..nampenda kutoka moyoni sio siri
Moyo unaniambia mvumilivu hula mbivu akili inaniambia niondoke
Uran amefanya nifunguke hapa
Bado najiuliza je nivumilie maana aliniambia hadi mwezi wa saba mambo yatakuwa sawa atarudi rasmi kwangu baada ya kupata anachokitaka huko
Kwa kua nakijua anachokitaka naona kama ana point maana mimi sitamsaidia na sina uwezo wa kumsaidia hicho anachokitaka kwa huyo dada
JE NIMSUBIRI?????
.....pole dada umeshaliwa wewe,mana walisema wahenga wajinga ndiyo waliwao,you are just like a side plate which a man use to empty his stress...hivi siku akija na kusema hakutaki utafanyaje?acha utoto?songa mbele na maisha yako....Ilianza kama utani kutumiana message za kirafiki,kuchekeshana hadi leo ninavyoandika hivi.mwaka jana ilitokea nimetokea kumpenda mkaka ambaye tulikua marafiki na alikua ananishauri kwenye mambo mengi tofauti ya maana, urafiki uliendelea huku akionesha kuwa hana mahusiano yoyote yale hadi siku nlipogundua kuwa yupo kwenye mahusiano na mdada mwingine.
Baada ya kugundua na kumuuliza alisema nimvumilie ananipenda kwa dhati na mimi ndio mwanamke wa maisha yake,kwa kua nilimpenda nilivumilia yote aliniambia aliangukia mikononi mwa huyo dada mwingine baada ya kuumizwa na binti aliekua akimpenda kwa dhati nikaona sababu amekua wazi na kumpenda nampenda kumpoteza sitaki nikavumilia hadi pale maji yalipofika shingoni....
Pale ambapo yule dada alipoanza vitimbwi nikaona sio kesi nikamwambia kaka chagua moja kama ni mimi au huyo mwenzangu nikampa muda wa kukaa kutafakari yupi anaona kwake atamfaa kwenye maisha yake siwezi kuficha niliumia sana kutowasiliana naye kwa kipindi kile hadi siku atakayotoa maamuzi.siku ikafika kaka akasema nimeona bora kuwa na wewe na sasa tupo kwenye mahusiano halali nilifurahi sana nikaona sasa nimepata mtu wa kufa na kuzikana
Kwa kufupisha sasa amesema hawezi kuwa na mimi kwa sasa maana hatafanikisha malengo yake kwa kua akiwa na mimi namdekeza,namfanya aone kama yupo likizo anaomba arudi kwa x wake akakamilishe mipango yake baada ya hapo turejeshe mahusiano yetu rasmi hadi sasa tunaonana,hatujaachana rasmi ingawa huyo dada hajui hiki kitu imekua siri kubwa kati yetu sisi...
Maumivu ninayopitia kumuona yupo na huyo dada mwingine ni makubwa na mazito nimejaribu kila njia labda atatoka kichwani nimeshindwa..nampenda kutoka moyoni sio siri
Moyo unaniambia mvumilivu hula mbivu akili inaniambia niondoke
Uran amefanya nifunguke hapa
Bado najiuliza je nivumilie maana aliniambia hadi mwezi wa saba mambo yatakuwa sawa atarudi rasmi kwangu baada ya kupata anachokitaka huko
Kwa kua nakijua anachokitaka naona kama ana point maana mimi sitamsaidia na sina uwezo wa kumsaidia hicho anachokitaka kwa huyo dada
JE NIMSUBIRI?????
Binti endelea na mipango yako. Tena uwe busy kweli maana time has a funny way of healing situations. Sababu zangu ni hizi:
1. Matters of the heart hazipewagi leave. Yaani eti mpaka July nitakua nimekamilisha kumuacha so and so ili niwe nawe...this is utter nonsense and yor are prolonging the inevitable! Kama anakupenda kweli angekuchagua wewe long. Wanaume wanafahamu wanachokihitaji from the very first day. Kwa kifupi jamaa anamuhitaji huyo bibie na sio wewe.
3. Kuacha, kumuacha, kuachishwa na kujiachisha zote ni situations ngumu. Pick one and stick to it. Navyoona hapa wewe ndio unacontrol yatayokutokea.
3. Heartbreak is a bitch. Yaani yale maumivu ya moyo unayoyapata ndio hivyohivyo yanaumaga kama u trully care for your partner kwahiyo unachojisikia wewe sio kigeni. Wengi sana wamepitia hali hiyo na maisha yanasonga eventually.
4. Good news ni kuwa "better to have loved and lost than to have never loved at all". Good luck
haahahah et je nimsubiri??? ww subiria maumivu tuu.Ilianza kama utani kutumiana message za kirafiki,kuchekeshana hadi leo ninavyoandika hivi.mwaka jana ilitokea nimetokea kumpenda mkaka ambaye tulikua marafiki na alikua ananishauri kwenye mambo mengi tofauti ya maana, urafiki uliendelea huku akionesha kuwa hana mahusiano yoyote yale hadi siku nlipogundua kuwa yupo kwenye mahusiano na mdada mwingine.
Baada ya kugundua na kumuuliza alisema nimvumilie ananipenda kwa dhati na mimi ndio mwanamke wa maisha yake,kwa kua nilimpenda nilivumilia yote aliniambia aliangukia mikononi mwa huyo dada mwingine baada ya kuumizwa na binti aliekua akimpenda kwa dhati nikaona sababu amekua wazi na kumpenda nampenda kumpoteza sitaki nikavumilia hadi pale maji yalipofika shingoni....
Pale ambapo yule dada alipoanza vitimbwi nikaona sio kesi nikamwambia kaka chagua moja kama ni mimi au huyo mwenzangu nikampa muda wa kukaa kutafakari yupi anaona kwake atamfaa kwenye maisha yake siwezi kuficha niliumia sana kutowasiliana naye kwa kipindi kile hadi siku atakayotoa maamuzi.siku ikafika kaka akasema nimeona bora kuwa na wewe na sasa tupo kwenye mahusiano halali nilifurahi sana nikaona sasa nimepata mtu wa kufa na kuzikana
Kwa kufupisha sasa amesema hawezi kuwa na mimi kwa sasa maana hatafanikisha malengo yake kwa kua akiwa na mimi namdekeza,namfanya aone kama yupo likizo anaomba arudi kwa x wake akakamilishe mipango yake baada ya hapo turejeshe mahusiano yetu rasmi hadi sasa tunaonana,hatujaachana rasmi ingawa huyo dada hajui hiki kitu imekua siri kubwa kati yetu sisi...
Maumivu ninayopitia kumuona yupo na huyo dada mwingine ni makubwa na mazito nimejaribu kila njia labda atatoka kichwani nimeshindwa..nampenda kutoka moyoni sio siri
Moyo unaniambia mvumilivu hula mbivu akili inaniambia niondoke
Uran amefanya nifunguke hapa
Bado najiuliza je nivumilie maana aliniambia hadi mwezi wa saba mambo yatakuwa sawa atarudi rasmi kwangu baada ya kupata anachokitaka huko
Kwa kua nakijua anachokitaka naona kama ana point maana mimi sitamsaidia na sina uwezo wa kumsaidia hicho anachokitaka kwa huyo dada
JE NIMSUBIRI?????