mwenzemu jamani sijielewi!

mwenzemu jamani sijielewi!

kanisani mnaenda kuwinda kumbe daaaaah,

yaani sijui nijielezeje? nilienda kusali ndugu wala sijawai kuwa na dhamira ya kutafuta mwanamke kanisani,yaan ni kanisa langu naenda kusali kila siku imetokea tu leo kumuona na sikuwai kutarajia kuja kumuona tena japokuwa nilitaman sana na sana kurudiana nae ila sikuwazia kama angekuwepo tena morogoro cha ajabu ile kuingia ndie mtu wa kwanza kumwona na nguo zilezile alizoondoka nazo kwangu, ningefanyaje ndugu.
 
^^
Mungu anapozuia jambo, anajua faida zake kwako.
Maisha yapo bado..usilazimishe mambo. Unaweza fuga donda usipate dawa
^^

hapo sasa! sijui nifanye ndugu yangu.
 
unatoss coin mitaa ya toilet ikizama eti ooooh fundi nisaidie nani ashike mavi nenda benki kadraw acha kulia lia
 
Kumbushia kwa kuzini mkuu? huoni kama kanisani ndio itakua ni sehemu ya kukutania wazinifu? unaliongeleaje hili?...Ibada au mgegedo?

uzinifu, uzinifu, uzinifu!
kwani kuzini maana yake ni nini? na kuzini kuna mahusiano gani na kupenda? na mtu unapopenda ufanyeje kuushuurutisha moyo usipende ili usitende dhambi ikiwa kupenda ni dhambi?
 
Like seriously unawaita "wadudu"!!!!!!wanawake unawaita wadudu!!!!!!mwanamke aliumbwa mdudu alitamkwa tu akatokea ila wewe leo unaona leo wote wadudu tu!!!duh!!!!
naunga mkono wadudu tu hao,hayajakukuta wew na tena utaona wadudu nafuu,cjui utawaita nan
 
jaman hata mimi kiroho kinadunda tangy muda ule nikuone kanisani, Jumapili ijayo ntahitahid mpaka tuonane baby pendael!!
 
Haya bhana subir jmapili nyingne ukamuone tena........ Kila mtu ananyota yake nafkir ww nyota yako ni ya kulilia wanawake. Kwan wanawake wameisha?!

ni hatar sana kumpenda mtu usie mwona kwa muda wote huo.take care
 
Back
Top Bottom