Recent content by sili SG

  1. sili SG

    NIDA wanapataje hela za kutoa gawio kwa serikali?

    Aloo hili swala lina hitaji ufafanuzi .Almost wakati mimi nafatilia kitambulisho huduma zilikuwa bure au sasa hivi kuna malipo.?
  2. sili SG

    Vijana wanawezeshwa vipi kujiajiri

    Pamoja na kwamba ajira limekuwa tatizo kwa wahitimu wengi wa vyuo vikuu nchini, lakini pia elimu wanayopata haiwezi kuwafanya wajiajiri. Huu ni ukweli usiopingika katika nchi sasa hivi. Kupeleka vijana wengi wahitimu wa vyuo vikuu ambao mwisho wa siku hawawezi kupata ajira na vilevile kujiajiri...
  3. sili SG

    Tuwakumbushe wanaoenda kugombea uongozi serikali za mitaa

    Kwanza nawapongeza wote waliojitathimini na kuona wanaweza kutuwakilisha wengine vilevile wanakubalika katika maeneo yao katika hizi ngazi za chini. Ila huyu kiongozi atambue na akumbuke kwamba: Hii kazi ni ya wito na ya kujitolea kwa asilimia kubwa unawawakilsha wananchi na kuwatetea wenyonge...
  4. sili SG

    USHAURI KWA WALIO SHULENI

    Kama wewe ni mtoto wa jamii ya mlo mmoja kwa siku kama unasoma, ukiona hizi combination ziache zilivyo unless uwe talented au utokee familia za mboga saba HKL,HGK,KLF,HGE,HGL,ECA tofauti na apo epuka ,geuka upande wa pili wa science pambana uwezavyo aangaika mpaka mwisho soma Science fursa zake...
  5. sili SG

    Rushwa iliyohalalishwa katika ofisi za Serikali za mitaa na kata

    True wenyeviti,madiwani hawana mshahara je ni halali kudai pesa pindi wanapotimaza majukumu yao waliyoomba kwa wananchi?na wakati wanaomba hawakujua kabisa hizo kazi hazina mshahara.?
  6. sili SG

    Rushwa iliyohalalishwa katika ofisi za Serikali za mitaa na kata

    Habari za kazi wadau wa humu.kwanza poleni na majukumu ya kupambana na changamoto za kila siku,.Turejee kwenye kichwa cha habari tajwa hapo juu Inafahamika Serikali za mitaa zimeanzishwa kisheria Kupitia katiba ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania ya 1977 na Sheria ya bunge Ikazitambua ,ikazipa...
  7. sili SG

    Kwanini tuwekeze kwa wanao jiajiri badala ya kutengeza ajira

    Wazo zuri sana Ndugu kitu kikiwa kwenye mpango ni tofauti sana kikiwa kwenye utekelezaji(implementation) na Mtu aliyeanza ni mzuri sana katika kumuwezesha., tatizo lingine linalokwamisha vijana wasijiajiri hakuna mazingira rafiki na wezeshi. (UPENDELEO WA MAMBO MENGI WAMEMPA KIJANA...
  8. sili SG

    Kama unasoma masomo au unategemea kusoma masomo ya ualimu wa arts jiandaee.

    Tuambieni ukweli bila kupepesa macho wala bla bla sasa hivi ualimu wa masomo ya arts na unaoendana hizo hauna soko tena kwa kauli hii ya Serikali Kusema Walimu wa Masomo ya Arts wanatosha na wapo wa Ziada na Kwamba Serikali Haiwezi Kuajiri Walimu Wengine! Sasa kama ni hivo, Je Hizo...
  9. sili SG

    Haya ndio Mashirika na Taasisi za Serikali zinaoongoza kwa mishahara na maslahi mazuri. Kama hauna wa kukuleta usiombe ajira

    kujuana bado kupo sana tena sana tena kwenye awamu hihi ya tano asa huku kwenye ajira kama ulipata kwenye njia ya kawaida thanks your God. kuna watu kibao wamesainiswa mikataba ya ajira hakuna cha interview wala nini.
  10. sili SG

    Kwanini ajira nyingi za muda Serikalini wanapeana wenyewe watumishi ambao tayari ni watumishi.?

    Habari wana JF. Siku hizi kwenye serikali kumepatikana nafasi mbalimbali za kazi za muda na kutangazwa nafasi za kazi za kwa wananchi wenye sifa mfano kuna hizi za tume ya taifa ya uchaguzi katika kuboresha daftari la kudumu la wapiga kura na n,k lakini cha kushangaza asilimia kubwa ya hizi...
  11. sili SG

    Mpigie makofi mjinga

    MJINGA Mjinga akimaliza la saba anaanza biashara ya mkaa halafu atachoma mahindi halafu atauza miwa, atalima viazi. Baada ya miaka miwili atafungua duka la nguo atasafiri kwenda Dar kufunga mzigo.... Kila hela atakayopata ataitunza kwa nidhamu kuu. Matokeo yake meneja wa benki atavutiwa na...
  12. sili SG

    Kwa wanaosafirisha mizigo kwenye mabasi na malori n.k

    Habari wadau wa humu JF. Mimi ni mwananchi wa mkoani huwa natumia sana huduma ya mabasi wakati mwingine maroli kutuma mizigo yangu mbalimbali kutoka DSM kuja huku nilipo,huwa naandikiwa risiti baada ya kulipia sasa juzi kati nikawa nasoma hizi risiti vizuri upande wa nyuma wa risiti nikakutana...
  13. sili SG

    Polisi 6 mbaroni kwa kuomba rushwa ya milioni 8

    Na haki itendeke kweli kwa hao washitakiwa... hawastahili hata kuwa uraiani hao ni kama majambazi tu :(
  14. sili SG

    Kama unasoma kozi hii jiandaee kuingia kwenye kundi la ukosefu wa ajira

    Habari wadau wa humu, Tuambiane ukweli tu Tatizo la ajira lipo ila tatizo la jira linaweza kuwa baya zaidi endapo msaka ajira atachagua na kusoma kozi ambayo haina soko kwa wakati husika ama haitambuliki na waajiri ama inaukakasi kwa muajiri kwamba atajiuliza hii kozi ina tegemea kuzalisha...
  15. sili SG

    Vifungashio vya karanga na ubuyu vyapigwa marufuku

    kweli ila tatizo kweli kuna bidhaa ya kufunga na karatasi ila kuna bidhaa nyingine ni ngumu kufunga kwa karatasi mfano icecream,Crips,karanga za mayai, bisi/popcorn nk ambapo ili umfikie mteja lazima uipak kwenye mazingira ambayo haita haribika na mteja aione kwa uzuri (transparent package)...
Back
Top Bottom