sili SG
Member
- Oct 12, 2018
- 22
- 26
Habari wana JF. Siku hizi kwenye serikali kumepatikana nafasi mbalimbali za kazi za muda na kutangazwa nafasi za kazi za kwa wananchi wenye sifa mfano kuna hizi za tume ya taifa ya uchaguzi katika kuboresha daftari la kudumu la wapiga kura na n,k lakini cha kushangaza asilimia kubwa ya hizi nafasi wanapeana wenyewe watumishi wa ndani wenye mishara na marupurupu kibao ili hali kuna wimbi kubwa la vijana wenye sifa stahiki na kuzidi wananyimwa hizo nafasi.?
Sasa hivi kuna zoezi la uchaguzi wa serikali za mtaa linakuja nchi nzima na wameanza kutangaza nafasi nyingi kwenye halmashauri mbalimbali lakini cha kushangaza kigezo kinawekwa ili upate hizi nafasi inabidi uwe mtumishi wa umma Kweli kwa Tanzania hii yenye watu Zaidi ya million 50 bado tuna endeleza mtindo wa kuvishana kofia mbilimbili.Inakuwa hatuwatendei haki wasomi wetu pamoja vijana wenye sifa halafu hawana ajira.(hata hizi za muda mnabana )Kwanini tusiwaachie hizi nafasi vijana ambao wanasifa.?
kama mnaisi kigezo cha form 4&6 mtapata wengi sana na itakuwa ngumu kuchagua basi pandisheni kigezo angalau mwenye certificate na kuendelea (kwa sababu hakuna mambo complicated kwenye hayo majukumu) ila sio mwenye ajira tena anapewa ajira nyingine matokeo yake wanafanya kazi chini ya kiwango (mshika mawili moja humponyoka) .
Niwaombeni vijana wenzagu tulalamike kila kona kupitia platform mbalimbali naamini hili swala likimfikia mkuu litafanyiwa kazi na watatengua hichi kigezo kandamizi cha ili upate kazi lazima uwe mtumishi wa umma.wakati wao tayari wana majukumu mengine ya kufanya.
Na ikiwezekana wakatazwe kabisa kuomba hizo nafasi waachie vijana ambao hawana ajira na wajue kwamba hata kazi za muda inapunguza unemployment rate.(mf ukiajiri kwa muda vijana 50,000 hujawapunguzia magumu hawa).?
Sasa hivi kuna zoezi la uchaguzi wa serikali za mtaa linakuja nchi nzima na wameanza kutangaza nafasi nyingi kwenye halmashauri mbalimbali lakini cha kushangaza kigezo kinawekwa ili upate hizi nafasi inabidi uwe mtumishi wa umma Kweli kwa Tanzania hii yenye watu Zaidi ya million 50 bado tuna endeleza mtindo wa kuvishana kofia mbilimbili.Inakuwa hatuwatendei haki wasomi wetu pamoja vijana wenye sifa halafu hawana ajira.(hata hizi za muda mnabana )Kwanini tusiwaachie hizi nafasi vijana ambao wanasifa.?
kama mnaisi kigezo cha form 4&6 mtapata wengi sana na itakuwa ngumu kuchagua basi pandisheni kigezo angalau mwenye certificate na kuendelea (kwa sababu hakuna mambo complicated kwenye hayo majukumu) ila sio mwenye ajira tena anapewa ajira nyingine matokeo yake wanafanya kazi chini ya kiwango (mshika mawili moja humponyoka) .
Niwaombeni vijana wenzagu tulalamike kila kona kupitia platform mbalimbali naamini hili swala likimfikia mkuu litafanyiwa kazi na watatengua hichi kigezo kandamizi cha ili upate kazi lazima uwe mtumishi wa umma.wakati wao tayari wana majukumu mengine ya kufanya.
Na ikiwezekana wakatazwe kabisa kuomba hizo nafasi waachie vijana ambao hawana ajira na wajue kwamba hata kazi za muda inapunguza unemployment rate.(mf ukiajiri kwa muda vijana 50,000 hujawapunguzia magumu hawa).?