Recent content by silas maswe

  1. S

    Urusi ndio Taifa linaloongoza kwa diplomasia ya vitisho vya Nukes kwa nchi zenye Nukes

    Kama hujui kaa kimya, Urusi aliishambuli Ujerumani Masharuki na Marekani aliishambulia Ujerumani Magharibi. Na Urusi sehemu kubwa ilikuwa imeishatekwa. Na aliemaliza vita ni Marekani baada ya kupiga Hiroshima na Nagasaki. Kwa hiyo Mshirika mkubwa wa Ujerumani alivyosalimu amri ndio na Ujerumani...
  2. S

    Naomba kufahamishwa kuhusu gari aina ya Mitsubishi RVR

    Hiyo gari ni nzuri na Spare zipo , Spare zake inafunga na Mitsubishi Autolander, kuanzia shock up za mbele na nyuma inafunga Spare za Autolander mpaka brake Pad, kiufupi ni Autolander, ni kama Kluger na Harrier
  3. S

    Nahodha ama admiral ya meli ya Urusi iliyozamishwa kashikwa na kufungwa

    Kwanza elewa B52 ina matoleo mpaka sasa Toleo lililopiga Nagasaki na Hiroshima ni B29 Maelezo yako B52 imetengenezwa miaka ya 50 ina mashaka kidogo
  4. S

    Nahodha ama admiral ya meli ya Urusi iliyozamishwa kashikwa na kufungwa

    Marekani hakuwahi kuzidiwa na Japani
  5. S

    Nahodha ama admiral ya meli ya Urusi iliyozamishwa kashikwa na kufungwa

    Meli hata ingekuwa ya 1920 kama imewekewa mifumo ya kisasa hiyo ni meli ya kisasa. Na hiyo meli ya Urusi iliyozama ni ya kisasa baada ya kuwekewa mifumo ya kisasa ya kuilinda na kushambulia
  6. S

    Urusi kupeleka majeshi yake na silaha nzito nchini Cuba na Venezuela kama Marekani itaendelea na kujiingiza Ukraine

    Ujerumani hajajitenga na yeye ndio watu wa kwanza kulaani, na pia ameshiriki bega kwa bega kuweka Vikwazo na Baadhi za mali za matajiri wa Urusi vimezuiliwa zikiwemo boti za kifahari
  7. S

    Urusi kupeleka majeshi yake na silaha nzito nchini Cuba na Venezuela kama Marekani itaendelea na kujiingiza Ukraine

    Kasome historia vizuri, Vita ya pili ya Dunia Mrusi alitwangwa na Germany na Urusi nusu ilikuwa imeishatekwa na Hitler akishirikiana na Italy pamoja na Japani, Na Marekani alimaliza vita baada ya kupiga Hiroshima na Nagasaki,
  8. S

    Kwa nini Gari za Nissan Qashqai siyo maarufu sana Tanzania?

    Hiyo Nissan Qashqai Spare inafunga na Nissan Xtrail new model T32 ya 2012-2014. Spare zake ni Changamoto ya bei, Spare zake ni Ghari kidogo, Tie rod end 1set ni 250,000/ Hub ya mbele OG ni 450,000/ ya kawaida 250,000/
  9. S

    Utitiri wa One za point 7: Je, wa zamani tulikuwa vilaza au elimu imekuwa rahisi?

    Swali kama hilo hupaswi kuuliza, Kwani wakati wenu mlihitimu wangapi? Kwani hujui watanzania wameongezeka kwa kuzaliana? Tulipata uhuru tupo milion 9 na sasa tupo zaidi ya million 60,
  10. S

    Samia Suluhu anajipatia madaraka miaka mitano ijayo bila ridhaa ya wananchi, watanzania tupaze sauti zetu

    Kwani wakati wa Uchaguzi mgombea Urais alikuwa na Mgombea Mwenza, Samia alichaguliwa na Wananchi na ndio maana uliona picha mbili wakati wa kura
  11. S

    Liangaliwe upya: Si rahisi kupata 'C' kwenye Chemistry kuweza kusoma Health-related programmes

    Miaka ya Nyuma nyenzo za kujifunzia zilikuwa ngumu, lakini Leo watu wanajifunza vitu vingi duniani bila vizingiti, Baadhi ya Shule za Private wanafunzi wanasoma moja kwa moja na Profesa wa ulaya na wanauliza maswali live sababu ya Teknolojia kukua, kwa hiyo miaka ya nyuma ni tofauti na sasa...
  12. S

    Afghanistan: Zaidi ya watu 600 wamefanikiwa kupanda ndege ya Jeshi la Marekani

    Hiyo ndege ni ya mizigo, inabeba mizigo mizito ikiwemo vifaru na zana za kivita kuliko hao watu waliopanda
Back
Top Bottom