Hapa kweli nakuona una nguvu moja tu, nayo ni kuongea pumba ili uendelee kupewa ulaji/madaraka wakati ni dhaifu ndani ya chama dhaifu. Chama dhaifu kimeleta sera dhaifu za madini, ardhi, uwekezaji, ubinafsishaji, mafao ya wafanyakazi, uendeshaji wa bodi mbalimbali, ukusanyaji and utumiaji wa...