health
JF-Expert Member
- Aug 21, 2012
- 325
- 38
Hello Mwanajamii!
Ni matumaini yangu kuwa unaendelea vema katika kazi zako za kila siku. Katika utendaji bora wa kazi unafuatana na utendaji bora wa ubongo pia. Ubongo wa mwanadamu hufikiri vema na kufanya maamuzi mazuri na kufanikisha kazi zetu za kila siku. Nazungumzia hivyo sababu wapo watu wengi hushindwa kufanya kazi vema kwa sababu wamejenga mawazo magumu sana katika ubongo na hata kusababisha matatizo ya kisaikolojia. Mtu apatapo tatizo mfano la kiafya haitakiwi kuona kuwa lile ni tatizo kubwa la kushindwa kufanya mambo ya kimaendeleo bali aone tu ni sehemu ndogo sana ya maisha yake na haiwezi kumuathiri tena kisaikolojia na baadaye anaweza kutatua tatizo kirahisi.
Wapo watu wengi sana wamekuwa wakiwa na stress kuhusu kukosa nguvu nzuri za kiume na hadi wengine kuona tena hawana lolote katika jamii. Napenda kuwashauri waondoe mawazo mabovu na wajione kuwa wapo vizuri sana na wanaweza kuendelea kuishi vema katika maisha. Napenda kuwapatia maelezo muhimu sana ya namna ya kuweza kuondokana na tatizo kama hilo kwa kutumia lishe muhimu nzuri na huwa ni adimu sana ambayo imeandaliwa kiasilia na kuhifadhiwa kwa mfumo mzuri usioweza kuruhusu kuharibika. Lishe hii imethibitishwa na mamlaka ya chakula na dawa kwa hapa Tanzania na haina madhara yoyote kwa afya. Napenda uendelee kujisomea maelezo yake na baadaye ukiwa na swali utaweza kuuliza.
MAGILIM
Inatokana na majina ya Magic-Slim, jina hili likabadilishwa na kuitwa Magilim.
Imetengenezwa kwa mimea kadhaa, mimea hiyo ni;
Ikiingia kwenye utumbo mkubwa inasaidia kugandisha maji ya nyongo na chumvi chumvi zake.
Ini huwa inavunjavunja mafuta na kutengeneza;
Matokeo yake mwili hukosa nguvu kwa kutoa sukari na mafuta, kugandishwa pamoja na maji ya nyongo kwenye utumbo mkubwa na mdogo.
Kufanya mwili kulazimika kutafuta nguvu kwenye hifadhi zake, sehemu zenye mafuta mfano kitambi, ------ na mikononi wanawake. Wanaopunguza unene na uzito hivyo mwili unatengeneza kemikali inayosaidia kutoa mafuta kwenye mwili na yanasafirishwa na damu kupelekwa kwenye ini pale ambapo ini huvunjavunja yale mafuta na kutengeneza vitu vitatu; maji ya nyongo, nguvu ya mwili ana uric acid. Wakati huo maji maji ya nyongo yanazidi kugandishwa na mafuta kwenye utumbo mkubwa na mdogo.
Magilim ikiwa kwenye ute ute(gel) kwenye utumbo inasaidia kusafisha utumbo mkubwa na mdogo na kusafisha mfumo wote wa kusagia chakula.
KAZI YA MAGILIM
REVIVE
Bidhaa hii imetengenezwa na mimea aina mbili ambayo ni Epim-edium na Gin-sen. Bidhaa hii inawasaidia sana wanaume kuamsha hisia za mapenzi na kudumisha msisimko.
KAZI YA REVIVE
CA + FE + ZI PLUS
FAIDA ZA MADINI YA CHOKAA
FAIDA ZA MADINI CHUMA
FAIDA ZA MADINI YA ZINKI
Kwa swali lolote au ushauri waweza kuuliza kwa kunipigia 0776491294/0713889162 au kuniandikia kupitia email ishealthy@hotmail.com
MAGILIM ni 62500/-, REVIVE ni 60500/- na CA+FE+ZI Plus ni 51000/-
Ni matumaini yangu kuwa unaendelea vema katika kazi zako za kila siku. Katika utendaji bora wa kazi unafuatana na utendaji bora wa ubongo pia. Ubongo wa mwanadamu hufikiri vema na kufanya maamuzi mazuri na kufanikisha kazi zetu za kila siku. Nazungumzia hivyo sababu wapo watu wengi hushindwa kufanya kazi vema kwa sababu wamejenga mawazo magumu sana katika ubongo na hata kusababisha matatizo ya kisaikolojia. Mtu apatapo tatizo mfano la kiafya haitakiwi kuona kuwa lile ni tatizo kubwa la kushindwa kufanya mambo ya kimaendeleo bali aone tu ni sehemu ndogo sana ya maisha yake na haiwezi kumuathiri tena kisaikolojia na baadaye anaweza kutatua tatizo kirahisi.
Wapo watu wengi sana wamekuwa wakiwa na stress kuhusu kukosa nguvu nzuri za kiume na hadi wengine kuona tena hawana lolote katika jamii. Napenda kuwashauri waondoe mawazo mabovu na wajione kuwa wapo vizuri sana na wanaweza kuendelea kuishi vema katika maisha. Napenda kuwapatia maelezo muhimu sana ya namna ya kuweza kuondokana na tatizo kama hilo kwa kutumia lishe muhimu nzuri na huwa ni adimu sana ambayo imeandaliwa kiasilia na kuhifadhiwa kwa mfumo mzuri usioweza kuruhusu kuharibika. Lishe hii imethibitishwa na mamlaka ya chakula na dawa kwa hapa Tanzania na haina madhara yoyote kwa afya. Napenda uendelee kujisomea maelezo yake na baadaye ukiwa na swali utaweza kuuliza.
MAGILIM
Inatokana na majina ya Magic-Slim, jina hili likabadilishwa na kuitwa Magilim.
Imetengenezwa kwa mimea kadhaa, mimea hiyo ni;
- Seamen cassie
- Cassia bark
- Mullberry leaver
- Fago fyrum tataricum
Ikiingia kwenye utumbo mkubwa inasaidia kugandisha maji ya nyongo na chumvi chumvi zake.
Ini huwa inavunjavunja mafuta na kutengeneza;
- Maji ya nyongo
- Nguvu ya mwili(glucose)
- Uric acid
Matokeo yake mwili hukosa nguvu kwa kutoa sukari na mafuta, kugandishwa pamoja na maji ya nyongo kwenye utumbo mkubwa na mdogo.
Kufanya mwili kulazimika kutafuta nguvu kwenye hifadhi zake, sehemu zenye mafuta mfano kitambi, ------ na mikononi wanawake. Wanaopunguza unene na uzito hivyo mwili unatengeneza kemikali inayosaidia kutoa mafuta kwenye mwili na yanasafirishwa na damu kupelekwa kwenye ini pale ambapo ini huvunjavunja yale mafuta na kutengeneza vitu vitatu; maji ya nyongo, nguvu ya mwili ana uric acid. Wakati huo maji maji ya nyongo yanazidi kugandishwa na mafuta kwenye utumbo mkubwa na mdogo.
- Uric acid na sukari inatoka kupitia figo kwenye mkojo na kufanya mwili unazidi kutoa mafuta kwenye hifadhi zake mwilini na kufanya mtu azidi kupungua(kukonda).
Magilim ikiwa kwenye ute ute(gel) kwenye utumbo inasaidia kusafisha utumbo mkubwa na mdogo na kusafisha mfumo wote wa kusagia chakula.
KAZI YA MAGILIM
- Kupunguza uzito na unene
- Kusawazisha kiwango cha sukari kwenye damu
- Kusafisha mfumo wote wa kusagia chakula
- Inapunguza uwezo wa mwili kunyonya lishe
- Kutoa sumu mwilini
- Kutoa chunusi mwilini
- Kutibu matatizo ya tumbo
REVIVE
Bidhaa hii imetengenezwa na mimea aina mbili ambayo ni Epim-edium na Gin-sen. Bidhaa hii inawasaidia sana wanaume kuamsha hisia za mapenzi na kudumisha msisimko.
KAZI YA REVIVE
- Kuongeza libido(ashiki au nyege)
- Kutibu impotence(mahanisi)
- Kuongeza muda wa uhai wa mbegu za kiume zinapotoka nje, zinatakiwa ziishi katiak joto 37C.
- Kuweka mwili katika hali ya hisia ya kawaida
- Kutibu maumivu ya kiuno
- Kuchelewa kumwaga mapema(kufika kileleni)
- Kutibu kutanuka kwa kibofu cha mkojo na kuzuia uwezekano wa kupata saratani ya kibofu cha mkojo.
- Inaimarisha usafirishaji wa damu mwilini
- Pia inasaidia kwa wenye pressure ya kushuka
- Kuboresha utendaji wa tendo la ndoa
CA + FE + ZI PLUS
- CA Madini ya Chokaa
- FE Madini ya Chuma
- ZI Madini ya Zinki
FAIDA ZA MADINI YA CHOKAA
- 5% ni uzito wa mwili wa binadamu na ni 2% ya uzito wa binadamu ni madini ya chokaa.
- Madini ya chokaa yanaimarisha mfumo wa kinga mwilini
- Madini haya yanasaidia utendaji wa kazi mwilini
- Madini ckokaa yanaimarisha mishipa ya hisia na ubongo
- Madini chokaa yanasaidia kugandisha damu mtu anapopata majeraha
FAIDA ZA MADINI CHUMA
- Hutumika kutengeneza damu hasa Red blood cells ambazo husafirisha oxygen
- Huimarisha mfumo wa mishipa ya hisia mwilini
- Huongeza uwezo wa kufikiria na nguvu ya ubongo kwa binadamu
- Huongeza nguvu mwilini
FAIDA ZA MADINI YA ZINKI
- Inaimarisha mfumo wa uzazi kwa wanaume
- Inaimarisha milango ya fahamu
- Kutibu vidonda vya ndani na nje wa binadamu
- Inatunza ngozi na kulinda ngozi na nywele
- Inaondoa matatizo ya macho.
Kwa swali lolote au ushauri waweza kuuliza kwa kunipigia 0776491294/0713889162 au kuniandikia kupitia email ishealthy@hotmail.com
MAGILIM ni 62500/-, REVIVE ni 60500/- na CA+FE+ZI Plus ni 51000/-