samakinchanga
JF-Expert Member
- Aug 24, 2014
- 2,024
- 1,237
Nitaarifa tu huko mambo si shwari kwa Ccm uchaguzi wa marudio uliopigwa tarehe 21 cuf vijiji 5,chadema 19,Ccm 47 na 2009 cdm hawakuwa na kijiji hata kimoja cha dawa.isitoshe cdm imeingia nyumbani kabisa kwa Prof .yaani wanavijiji wameelewa cheusi kipi na chekundu kipi.tena hapo Mjini kaliua wamekomba vijiji vyote wanaukawa.tutaheshimiana