Sawa, Lakini Kumbuka Waziri Ana Nafasi Yake Katika Kuhakikisha Wahitimu Walio Chini Ya Wizara Yake Wanapata Ajira, Ofsi Ya Rais Utumishi Wa Umma Inapokea Mapendekezo Na Kuyafanyia Kazi Na Baadae Katibu Wa Wizara Husika Hutangaza Ajira Kupitia Sekretarieti Ya Ajira.
Sawa, Lakini Kumbuka Waziri Ana Nafasi Yake Katika Kuhakikisha Wahitimu Walio Chini Ya Wizara Yake Wanapata Ajira, Ofsi Ya Rais Utumishi Wa Umma Inapokea Mapendekezo Na Kuyafanyia Kazi Na Baadae Katibu Wa Wizara Husika Hutangaza Ajira Kupitia Sekretarieti Ya Ajira.
WanaJF,
Kilichofanywa na wizara ya maliasili na utalii chini wa Mh. Nyarandu kimenigusa sana na nadiriki kumpongeza kwa kutangaza ajira zaidi ya 500 kwenye Wizara yake.
Ukweli ni kwamba nafasi hizo hazitoshi kutokana na wingi wa wahitimu waliopo mtaani ila ni afadhali kuliko baadhi ya Wizara...
Habari WanaJF,
Idadi ya watangaza nia ya kugombea urais inazidi kuongezeka siku hadi siku na ndipo ninapojiuliza ikulu kuna nini mpaka kila mmoja atake kwenda?
Sasa ngoja nijikite kwenye mada yenyewe: tegemeo la watanzania kwa maoni yangu ni kuwa na rais mwenye sifa zifuatazo...
WanaJF Napenda Kuwatangazia Kuwa Kuna Mifuko Imetengenezwa Kwa Teknolojia Mpya Kwa Ajili Ya Kuhifadhia Mazao Kama Mahindi Na Maharage Pasipo Kuweka Dawa(sumu), Pia Mifuko Hii Hutumika Kwa Zaidi Ya Misimu Mitatu Kama Itahifadhiwa Vizuri, Kwa Maelezo Zaidi Na Namna Ya Kuipata Wasiliana Na...
Si Kweli Wote Wanaoamua Kufanya Mambo Tofauti Na Waliyosomea Walilazimisha Kusoma Pasipo Kupenda, Wengi Hujikuta Wanalazimika Kufanya Hivyo Kutokana Na Ugumu Wa Maisha Kwani Wanakuwa Wamesubiri Ajira Kwa Muda Mrefu Pasipo Mafanikio, Kwa Mfano Wapo Watu Wamesoma Kilimo Na Sasa Wameamua Kuuza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.