Recent content by Sikutambua

  1. S

    Kwa ulaji huu, wife mwambie mdogo wako(shemeji) arudi kijijini

    Kikubwa ni kumwelewesha tu na c kumwondoa Ila busara kubwa itumike wakati wa kumwelewesha asije akajisikia vibaya
  2. S

    Tujihadhari na huu utapeli kupitia e mails zetu

    Hizo email za namna hiyo nimepokea zaidi ya 10 na ni waongo watupu. Ukipokea email kama hiyo potezea tu.
  3. S

    Amerudi nikiwa tayari nina mwingine

    Mweleze Ukweli Tu Kuwa Tayari Ushapata Mwingine. Japo Nahisi Roho Inakuuma.
  4. S

    Kwa Heri CCM

    Ukweli Ni Kwamba Kwa Yanayoendelea Tanzania Ccm Ijiandae Kukabidhi Madaraka Kwa Upinzani October 2015.
  5. S

    Kwa Heri CCM

    Ukweli Ni Kwamba Kwa Yanayoendelea Tanzania Ccm Ijiandae Kukabidhi Madaraka Kwa Upinzani October 2015.
  6. S

    Hongera Mhe. Nyalandu Wizara yako kutoa Ajira 500

    Sawa, Lakini Kumbuka Waziri Ana Nafasi Yake Katika Kuhakikisha Wahitimu Walio Chini Ya Wizara Yake Wanapata Ajira, Ofsi Ya Rais Utumishi Wa Umma Inapokea Mapendekezo Na Kuyafanyia Kazi Na Baadae Katibu Wa Wizara Husika Hutangaza Ajira Kupitia Sekretarieti Ya Ajira.
  7. S

    Hongera Mhe. Nyalandu Wizara yako kutoa Ajira 500

    Sawa, Lakini Kumbuka Waziri Ana Nafasi Yake Katika Kuhakikisha Wahitimu Walio Chini Ya Wizara Yake Wanapata Ajira, Ofsi Ya Rais Utumishi Wa Umma Inapokea Mapendekezo Na Kuyafanyia Kazi Na Baadae Katibu Wa Wizara Husika Hutangaza Ajira Kupitia Sekretarieti Ya Ajira.
  8. S

    Hongera Mhe. Nyalandu Wizara yako kutoa Ajira 500

    WanaJF, Kilichofanywa na wizara ya maliasili na utalii chini wa Mh. Nyarandu kimenigusa sana na nadiriki kumpongeza kwa kutangaza ajira zaidi ya 500 kwenye Wizara yake. Ukweli ni kwamba nafasi hizo hazitoshi kutokana na wingi wa wahitimu waliopo mtaani ila ni afadhali kuliko baadhi ya Wizara...
  9. S

    Rais ajaye awe na sifa zifuatazo

    Habari WanaJF, Idadi ya watangaza nia ya kugombea urais inazidi kuongezeka siku hadi siku na ndipo ninapojiuliza ikulu kuna nini mpaka kila mmoja atake kwenda? Sasa ngoja nijikite kwenye mada yenyewe: tegemeo la watanzania kwa maoni yangu ni kuwa na rais mwenye sifa zifuatazo...
  10. S

    Jari Afya Yako

    WanaJF Napenda Kuwatangazia Kuwa Kuna Mifuko Imetengenezwa Kwa Teknolojia Mpya Kwa Ajili Ya Kuhifadhia Mazao Kama Mahindi Na Maharage Pasipo Kuweka Dawa(sumu), Pia Mifuko Hii Hutumika Kwa Zaidi Ya Misimu Mitatu Kama Itahifadhiwa Vizuri, Kwa Maelezo Zaidi Na Namna Ya Kuipata Wasiliana Na...
  11. S

    Serikali Wakumbukeni Na Hawa

    Si Kweli Wote Wanaoamua Kufanya Mambo Tofauti Na Waliyosomea Walilazimisha Kusoma Pasipo Kupenda, Wengi Hujikuta Wanalazimika Kufanya Hivyo Kutokana Na Ugumu Wa Maisha Kwani Wanakuwa Wamesubiri Ajira Kwa Muda Mrefu Pasipo Mafanikio, Kwa Mfano Wapo Watu Wamesoma Kilimo Na Sasa Wameamua Kuuza...
Back
Top Bottom