Ndugu wanazuoni nasikitika sana kuona wadogo zetu wanaosoma chuo kikuu cha Sokoine wanakosa uongozi wa wanafunzi ilihali fedha za uendeshaji zinatolewa kama kawaida 10,000/=@student.
Sababu hazieleweki kabisa maana tume ya uchaguzi ilizuiwa na utawala baada ya kuwepo na muingiliano kati ya...
N
Ni bonge la mtu asiyejitambua kabisa anapenda madaraka lakini hajui uongozi japo hapa amesoma masomo yenye mwelekeo huo sijui anafanya hivyo kwa faida ya nani? nitarusha picha yake tu usiwe na wasi. HAFAI HATA BURE. FAINALIST ANATAKA AENDELEE KUWA RAIS????????? SHAME ON HIM
Kwa kweli inasikitisha sana kwa rais wa wanafunzi SUA anapopanga kulazimisha kubakia katika madaraka japo muda wake kimasomo umemalizika. hii imetokana na yeye kwa kushirikiana mshauri wa wanafunzi wamejaribu kuizuia tume ya uchaguzi ya wanafunzi iliyochaguliwa na bunge la wanaSUA (USRC) kwa...
ni ombi kwa Mh. PM naomba uje huku wilaya ya Makete kuna uozo mkubwa sana. Watu wanafanya kazi kwa mazoea na kibaya zaidi wanatudharau sana sisi watumishi wa ngazi za kata na vijiji. Mfano, mifugo na kilimo, kuna watu special wa semina, wafanyakazi bora, wapiga dili hatukutani pamoja kujadili...
Nina wasiwasi na elimu yako, hivi unajuwa maana ya kurithisha?? Makamba alikuwa mbunge?? Makongoro alikuwa mbunge tena NCCR-Mageuzi wakati baba yake akiwepo bado hadi anamnyima kupanda ndege toka Msm to Dar kisa ameenda chama pinzani?? Hujui tafakari vizuri. Nitajie wenyeviti wa CDM Wote tangu...
Hapa SUA wametoa ijumaa jion lakini sio waliopata ni waliokosa na sababu zao kibao tu. wengine walioappeal hawajaonekana majina yao kama mimi. vuta subira watatoa muda si mrefu maana waliopata mkopo walisha saini kwa mara ya pili tayari. be torelant.
Idara ya kilimo,mifugo na ushirika wilaya ya Makete nashindwa kuielewa kabisa. Kila OC ikiingia matumizi yake sijui yanaelekea wapi? Inasemekana kuna pesa iliwahi kupigwa na idara ikabaki na deni kubwa tangu 2011 hadi leo OC ikija wanatoa fedha kwenda kulipa deni hilo la mradi wa ng'ombe...
Wiki iliyopita katibu mkuu kilimo... Alikuwepo hapa SUA na watafiti wa mambo ya kilimo toka ng'ambo wakizungumzia namna gani wakulima nchini wapige hatua kwa kilimo. Baadae wanaosoma Bsc, Applied Agricultural Extension walimuuliza ni kwa nn wanaosoma progm hii hawapewi mikopo alijibu " Kila...
kozi zooote hapa SUA huwezi dharau bana. Watu tunaomba tupate gamba sio lazima kuwa na GPA kubwa. Alafu mbona hao wa GPA kubwa wakija kufanya interview hapa SUA kuomba kazi wanashindwa? Kila interview 'screening test' je, GPA kubwa ndo kiashiria cha uchapakazi??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.